Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAR SASA INATISHA SALUNI YA NGONO YAFUMULIWA

Stori: Waandishi wetu/Risasi
HALI ni mbaya! Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali, Risasi Jumamosi lina mkanda mzima. Mhudumu wa saluni ya kuchua akitweta mara baada ya kunaswa na OFM akijihusisha na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kuanzia sasa unyonge basi. Inatisha!

Wengi tulishangazwa na hatukuamini tuliposikia kauli ya Baba Mkuu pale alipowaambia CCM kuwa sasa unyonge basi.

 

9 years ago

Global Publishers

Bomoa bomoa mahekalu Dar, ripoti inatisha

1Tingatinga likiendelea na kazi ya ubomoaji.

HALI tete! Kufuatia Mahakama ya Ardhi, Dar kutengua bomoabomoa ya nyumba 674, bado ripoti inatisha kwa zile nyumba ambazo mahakama haikuzitambua na zile ambazo zilishabomolewa mwishoni mwa mwaka jana.

1222

Moja ya mjengo wa ukibomolewa.

Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa wengi waliokimbilia mahakamani, walikuwa wakisukumwa na baadhi ya vigogo wenye mahekalu yao maeneo ya Mbezi, Dar ambao walikuwa wanashindwa kujitokeza mstari wa mbele kwa kuhofia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tazara yafumuliwa

SHIRIKA la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), limefanyiwa mabadiliko makubwa ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kubadilishana abiria mpakani na kupunguza madaraka makao makuu kuyapeleka mikoani kwa lengo la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mikataba ya madini yafumuliwa

SERIKALI imefumua mikataba ya kampuni za uchimbaji madini hapa nchini kutokana na malalamiko ya wananchi kwamba hawafaidiki na mapato yatokanayo na mrahaba unaolipwa na wawekezaji hao. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

Dewji Blog

Utafiti waibua makubwa ngono za utotoni Dar

DSC_0140

Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono mwishoni mwa wiki kwenye kituo cha maelezo ya afya Muhimbili katika idara ya magonjwa ya akili. Kulia ni Mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema...

 

10 years ago

GPL

UTAFITI WAIBUA MAKUBWA NGONO ZA UTOTONI DAR‏

Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) baada ya kukamilisha SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono mwishoni mwa wiki kwenye kituo cha maelezo ya afya Muhimbili...

 

10 years ago

Michuzi

UTAFITI WAIBUA MAKUBWA NGONO ZA UTOTONI JIJINI DAR

DSC_0140Mratibu wa mradi wa PREPARE ambaye pia ni Mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili, Kitengo cha magonjwa na afya ya akili, Lusajo Kajula (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono mwishoni mwa wiki kwenye kituo cha maelezo ya afya Muhimbili katika idara ya magonjwa ya akili. Kulia ni Mtathmini kiongozi wa mradi huo, Mrema...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani