Tazara yafumuliwa
SHIRIKA la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), limefanyiwa mabadiliko makubwa ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kubadilishana abiria mpakani na kupunguza madaraka makao makuu kuyapeleka mikoani kwa lengo la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Mikataba ya madini yafumuliwa
SERIKALI imefumua mikataba ya kampuni za uchimbaji madini hapa nchini kutokana na malalamiko ya wananchi kwamba hawafaidiki na mapato yatokanayo na mrahaba unaolipwa na wawekezaji hao. Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
GPLDAR SASA INATISHA SALUNI YA NGONO YAFUMULIWA
11 years ago
TheCitizen19 May
Tazara to get 18 new coaches
9 years ago
Habarileo19 Aug
Tazara walalamikiwa
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wameulalamikia uongozi wa mamlaka hiyo upande wa Tanzania kwa kujilipa malimbikizo ya marupurupu ya miezi minne, huku ukijua kuwa watumishi wengine hawajalipwa malimbikizo ya mshahara wa Januari mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Waliostaafishwa Tazara kulipwa
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wafanyakazi Tazara kugoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.
10 years ago
Habarileo23 Jan
TAZARA washukuru kulipwa
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameshukuru kulipwa mishahara yao ya miezi minne, lakini wametoa siku saba kwa mamlaka hiyo kuwalipa mishahara yao iliyobaki.
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo