Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazara yafumuliwa

SHIRIKA la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), limefanyiwa mabadiliko makubwa ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kubadilishana abiria mpakani na kupunguza madaraka makao makuu kuyapeleka mikoani kwa lengo la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mikataba ya madini yafumuliwa

SERIKALI imefumua mikataba ya kampuni za uchimbaji madini hapa nchini kutokana na malalamiko ya wananchi kwamba hawafaidiki na mapato yatokanayo na mrahaba unaolipwa na wawekezaji hao. Akizungumza jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

DAR SASA INATISHA SALUNI YA NGONO YAFUMULIWA

Stori: Waandishi wetu/Risasi
HALI ni mbaya! Wakati suala la ajira likiwa bado ni kitendawili kikubwa kwa serikali, Jiji la Dar hivi sasa linatisha, baada ya watu kubuni mtindo mpya wa kujipatia fedha kwa kujihusisha na biashara haramu ya ngono katika maeneo yanayotambulika kufanya shughuli nyingine halali, Risasi Jumamosi lina mkanda mzima. Mhudumu wa saluni ya kuchua akitweta mara baada ya kunaswa na OFM akijihusisha na...

 

11 years ago

TheCitizen

Tazara to get 18 new coaches

>The Tanzania-Zambia Railway Authority (Tazara) has ordered 18 new passenger coaches and spare parts from China worth $9.52 million (Sh15.2 billion) to be delivered by October 2015.

 

9 years ago

Habarileo

Tazara walalamikiwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wameulalamikia uongozi wa mamlaka hiyo upande wa Tanzania kwa kujilipa malimbikizo ya marupurupu ya miezi minne, huku ukijua kuwa watumishi wengine hawajalipwa malimbikizo ya mshahara wa Januari mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliostaafishwa Tazara kulipwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeiamuru Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kuwalipa fidia wafanyakazi wake wa zamani 271 kutokana na kuwastaafisha kwa lazima.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Tazara kugoma

Dk Harison MwakyembeWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

TAZARA washukuru kulipwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameshukuru kulipwa mishahara yao ya miezi minne, lakini wametoa siku saba kwa mamlaka hiyo kuwalipa mishahara yao iliyobaki.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo

Nchini Tanzania Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA wameanza mgomo wa siku saba wakishinikiza Serikali kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano hadi sasa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani