Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazara walalamikiwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wameulalamikia uongozi wa mamlaka hiyo upande wa Tanzania kwa kujilipa malimbikizo ya marupurupu ya miezi minne, huku ukijua kuwa watumishi wengine hawajalipwa malimbikizo ya mshahara wa Januari mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa walalamikiwa

Baadhi ya vyama vya siasa nchini vimeilalamikia Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kwa madai ya kushindwa kukamilisha maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Utaratibu Chadema sasa walalamikiwa

Utaratibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wa kutaka mwanachama anayehitaji kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao kujigharimia mikutano yote ya kujinadi, umewaweka njia panda baadhi ya waliotangaza nia wilayani hapa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kinondoni walalamikiwa na mawakala wa magazeti

MAWAKALA wa magazeti mbalimbali wamelalamikia kitendo cha kuzuiwa kufanya biashara hiyo ndani ya kituo kipya cha Daladala Simu 2000. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Habarileo

Mzani wa Manga walalamikiwa na wenye magari

MADEREVA wa magari makubwa ya mizigo na ya abiria wamelalamikia mizani iliyopo eneo la Manga, nje kidogo ya mji wa Singida barabara kuu ya Singida - Mwanza kwa madai kuwa ni mbovu.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR WALALAMIKIWA

Zoezi la upigaji kura lilivyokuwa maeneo ya kituo cha Mapambano.…

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE NA DIWANI CHADEMA WALALAMIKIWA NA WANANCHI KUKWAMISHA MAENDELEO YA JIMBO KWA MIAKA MINNE

Wanafunzi wa elimu ya awali, wakifundishwa na mwalimu Juliana Joseph huku wakiwa wamekaa sakafuni na juu ya paa kukiwa wazi katika moja ya vyumba vya madarasa ya Shule ya Msingi, Unyaghumpi vilivyozuiliwa kujengwa na Mbunge Tundu Lissu kwa kuwakataza wananchi kuchangia fedha na kuwaambia kuwa fedha zote zitatoka serikalini,imeelezwa na Wananchi wa jimbo hilo kuwa kufuatia na hali hiyo miradi mingi imekwama kwa miaka minne sasa,jambo ambalo limewarudisha nyuma kimaendeleo.  Katibu ...

 

11 years ago

TheCitizen

Tazara to get 18 new coaches

>The Tanzania-Zambia Railway Authority (Tazara) has ordered 18 new passenger coaches and spare parts from China worth $9.52 million (Sh15.2 billion) to be delivered by October 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tazara yafumuliwa

SHIRIKA la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), limefanyiwa mabadiliko makubwa ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kubadilishana abiria mpakani na kupunguza madaraka makao makuu kuyapeleka mikoani kwa lengo la...

 

11 years ago

TheCitizen

Tazara must stand on own feet

The Tanzania-Zambia Railway Authority (Tazara) has been thrown a lifeline after the two partner nations agreed to inject $80 million (Sh136 billion) into the struggling firm in the next 12 months.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani