Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinondoni walalamikiwa na mawakala wa magazeti

MAWAKALA wa magazeti mbalimbali wamelalamikia kitendo cha kuzuiwa kufanya biashara hiyo ndani ya kituo kipya cha Daladala Simu 2000. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAWAKALA NA WAUZA MAGAZETI WASHEREHEKEA MIAKA 17 YA KAMPUNI YA GLOBAL PUBLISHERS

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akizungumza na mawakala pamoja na wauzaji wa magazeti Dar Live leo. Wauzaji na mawakala wa magazeti wakiwa kwenye sherehe hizo. Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho (kulia) akiwa na Ofisa Utawala wa Global, Soud Kivea. MAWAKALA na wauzaji wa…

 

11 years ago

GPL

MAWAKALA WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS WAFANYIWA TAMASHA LA MICHEZO MWANZA

Wauza magazeti wanawake mkoani Mwanza wakichuana katika mbio za magunia. Wauza magazeti wanaume wakimaliza mbio za magunia.…

 

9 years ago

Habarileo

Tazara walalamikiwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wameulalamikia uongozi wa mamlaka hiyo upande wa Tanzania kwa kujilipa malimbikizo ya marupurupu ya miezi minne, huku ukijua kuwa watumishi wengine hawajalipwa malimbikizo ya mshahara wa Januari mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa walalamikiwa

Baadhi ya vyama vya siasa nchini vimeilalamikia Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kwa madai ya kushindwa kukamilisha maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Utaratibu Chadema sasa walalamikiwa

Utaratibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wa kutaka mwanachama anayehitaji kugombea nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao kujigharimia mikutano yote ya kujinadi, umewaweka njia panda baadhi ya waliotangaza nia wilayani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Mzani wa Manga walalamikiwa na wenye magari

MADEREVA wa magari makubwa ya mizigo na ya abiria wamelalamikia mizani iliyopo eneo la Manga, nje kidogo ya mji wa Singida barabara kuu ya Singida - Mwanza kwa madai kuwa ni mbovu.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR WALALAMIKIWA

Zoezi la upigaji kura lilivyokuwa maeneo ya kituo cha Mapambano.…

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE NA DIWANI CHADEMA WALALAMIKIWA NA WANANCHI KUKWAMISHA MAENDELEO YA JIMBO KWA MIAKA MINNE

Wanafunzi wa elimu ya awali, wakifundishwa na mwalimu Juliana Joseph huku wakiwa wamekaa sakafuni na juu ya paa kukiwa wazi katika moja ya vyumba vya madarasa ya Shule ya Msingi, Unyaghumpi vilivyozuiliwa kujengwa na Mbunge Tundu Lissu kwa kuwakataza wananchi kuchangia fedha na kuwaambia kuwa fedha zote zitatoka serikalini,imeelezwa na Wananchi wa jimbo hilo kuwa kufuatia na hali hiyo miradi mingi imekwama kwa miaka minne sasa,jambo ambalo limewarudisha nyuma kimaendeleo.  Katibu ...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia  mpango huo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani