Je wenye akili taahira wafungwe kizazi?
Familia nyingi zenye wagonjwa wenye akili taahira wanasema ingekuwa vyema kuwafunga kizazi wagonjwa hao kwani wanapata matatizo mengi wanapozaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69OIA-LpgM9bJLSfoaEoK5zFRztwsQLFG3ViWoMVpeZAtjZEf-sK-tpgx1a4zH5sI5lpXw7j4juJjKKq0ueqG5-/GWAJIMA2.jpg?width=650)
NI WENYE AKILI PEKEE NDIYO WATAKAOMWELEWA GWAJIMAU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJfc0T8e8iii1hQYZYGRhFBLgpzxbsdTAJbB5ck9TpZbEO2nDT*EHTSSbiU6qBqTisJFm0Q-8Jl3IqZD-mugccfX/dollars.jpg?width=650)
WENYE FEDHA WANA AKILI KULIKO SISI?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili
10 years ago
CloudsFM29 Oct
WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA
Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.
Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i2EPrJL6sLk/U-TC-faPMqI/AAAAAAAF95Q/cL5npMr4f1U/s72-c/Untitled.png)
shule ya msingi kibamba yapata kitengo cha wenye ulemavu wa akili
![](http://3.bp.blogspot.com/-i2EPrJL6sLk/U-TC-faPMqI/AAAAAAAF95Q/cL5npMr4f1U/s1600/Untitled.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-grrDUtEDW4o/U-TDBh_9fAI/AAAAAAAF95c/uZHMQ7Q3XNQ/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3JGlOdaIfa0/U-TDBXVcNKI/AAAAAAAF95Y/tKAJ9lU482o/s1600/Untitled2.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/--EUsZuCVlVI/U-TDDp3c-8I/AAAAAAAF95o/t9p0BIi_7XY/s1600/Untitled3.png)
9 years ago
Bongo502 Sep
Ray: Uchaguzi umenifanya niwajue wasanii wenye akili na wasiokuwa nazo
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s72-c/unnamed+(91).jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya NBC waipiga jeki timu ya watoto wenye ulemavu wa akili Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Y6-hmyORs/U4lvC68S-vI/AAAAAAAFmr4/D5pSR-kCqKI/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMpDg59Mvl4/U4lvDGP2fbI/AAAAAAAFmsE/YflKfPs6AtE/s1600/unnamed+(92).jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Apr
ZAPDD yawapiga msasa wanahabari Zanzibar juu ya kutete watu wenye ulemavu wa akili PDD
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Ally Uki katikati akitoa mada katika Semina ya kuwajengea Uwezo Wanahabari. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu wa Akili Zanzibar (ZAPDD) Juma Salim Juma na kulia ni Mdau kutoka ZAPDD Khalid A Omar. Semina hiyo ilidhaminiwa na Mwenvuli wa Asasi za Kiraia.
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Waandishi wa habari nchini wameazimia kuboresha Fani ya Uandishi na Utayarishaji wa Vipindi Vinavyohusu Watu wenye Ulemavu wa Akili ili...