NI WENYE AKILI PEKEE NDIYO WATAKAOMWELEWA GWAJIMAU
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69OIA-LpgM9bJLSfoaEoK5zFRztwsQLFG3ViWoMVpeZAtjZEf-sK-tpgx1a4zH5sI5lpXw7j4juJjKKq0ueqG5-/GWAJIMA2.jpg?width=650)
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. elewa ni suala la mtu na mtu, si kitu cha pamoja hata kidogo! Fundisha uwezavyo usitarajie watu wote wakuelewe katika msingi mmoja. Naamini hata sakata la Josephat Gwajima ambaye ni Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, lazima litaeleweka tofautitofauti. Nakatisha maelezo kwa sababu nafahamu jamii ninayoiandikia makala haya inafahamu Gwajima anatuhumiwa kumkashifu Askofu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Figo: Soka la vijana ndiyo dawa pekee
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*JMqoAbUa-8LG*oV20xik83KbpRHQUd9M5pVxRYAc3fkziNlCLERAtSjA5Zv6j0tvUTWYvHnk9ZZuTjxwJtG9S/d.jpg?width=650)
DUDE: AKILI YANGU MBOVU NDIYO MAANA SIOI
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Karibu Profesa Assad, weledi ndiyo siri pekee
10 years ago
Mwananchi15 Mar
‘Azam ndiyo pekee itapeta masharti ya CAF, Fifa’
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Je wenye akili taahira wafungwe kizazi?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJfc0T8e8iii1hQYZYGRhFBLgpzxbsdTAJbB5ck9TpZbEO2nDT*EHTSSbiU6qBqTisJFm0Q-8Jl3IqZD-mugccfX/dollars.jpg?width=650)
WENYE FEDHA WANA AKILI KULIKO SISI?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili
10 years ago
CloudsFM29 Oct
WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA
Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.
Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...