Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NI WENYE AKILI PEKEE NDIYO WATAKAOMWELEWA GWAJIMAU

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. elewa ni suala la mtu na mtu, si kitu cha pamoja hata kidogo! Fundisha uwezavyo usitarajie watu wote wakuelewe katika msingi mmoja. Naamini hata sakata la Josephat Gwajima ambaye ni Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, lazima litaeleweka tofautitofauti. Nakatisha maelezo kwa sababu nafahamu jamii ninayoiandikia makala haya inafahamu Gwajima anatuhumiwa kumkashifu Askofu wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Figo: Soka la vijana ndiyo dawa pekee

Mwanasoka bora wa dunia wa mwaka 2001 na winga wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo amesema ili Tanzania ipate maendeleo katika soka la kimataifa inapaswa kutumia njia sahihi za kukuza vipaji vya vijana nchini.

 

10 years ago

GPL

DUDE: AKILI YANGU MBOVU NDIYO MAANA SIOI

Stori: Imelda Mtema/Risasi
STAA wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba, amesema licha ya kuishi na mzazi mwenzie kwa zaidi ya miaka kumi, anashindwa kuoa kwa sababu akili yake siyo nzuri. Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba. Akipiga stori mbili tatu na mwanahabari wetu, Dude alisema linapokuja suala la kulaumiwa kuchelewa kuoa, anastahili kwani hakuna kitu kinachomsababisha asioe zaidi ya akili yake kuwa mbovu. “Mimi...

 

10 years ago

Mwananchi

Karibu Profesa Assad, weledi ndiyo siri pekee

Rais Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Mwananchi

‘Azam ndiyo pekee itapeta masharti ya CAF, Fifa’

Klabu za Ligi Kuu Bara sasa zitaingia katika mfumo mpya wa kushiriki ligi hiyo kwa kujaza fomu za kuomba ushiriki endapo itakidhi vigezo ikiwamo kuwa na uwanja wa mazoezi, uwanja wa kuchezea mechi na programu ya vijana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je wenye akili taahira wafungwe kizazi?

Familia nyingi zenye wagonjwa wenye akili taahira wanasema ingekuwa vyema kuwafunga kizazi wagonjwa hao kwani wanapata matatizo mengi wanapozaa

 

11 years ago

GPL

WENYE FEDHA WANA AKILI KULIKO SISI?

Hili ni moja kati ya maswali muhimu ambayo mtu anapaswa kujiuliza, pale anapofikiria kama anaweza kutengeneza pesa na kuwa tajiri kama walivyo matajiri wengine. Jibu la swali hili linaweza kuwa ‘Inawezekana’. Kwamba inawezekana matajiri wana akili kuliko sisi kwa sababu wamefanikiwa kupata fedha, achana na hawa tunaosikiasikia kuwa wanapata utajiri kwa sababu ya nguvu za giza. Lakini hata hivyo, akili ambazo wanazo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Muziki watumika kuwasaidia watoto wenye ulemavu wa akili

Asilimia moja ya watu duniani wanazaliwa wakiwa na matatizo ya akili na ubongo.

 

10 years ago

CloudsFM

WANAFUNZI WENYE ULEMAVU WA AKILI WAPATA UJAUZITO GEITA

Wanafunzi watatu ambao ni walemavu wa akili wanaosoma Shule Maalumu ya Msingi Mbugani, Halmashauri ya Mji Geita wamekatiza masomo baada ya kubakwa na kupata mimba.
Wanafunzi hao wameacha masomo tangu mwanzoni mwa mwaka huu kwa sababu ya ujauzito, baada ya kubakwa na watu wasiojulikana wakiwa njiani kwenda shule.

Akizungumza ofisini kwake juzi, Mwalimu Mkuu Kitengo cha Wanafunzi Walemavu, Mtawa Blacia Mghamba alisema wanafunzi hao wamefanyiwa vitendo hiyo kutokana na shule hiyo kutokuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani