Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO ATUPWA CHOO BAADA YA KUJIFUNGUA

kuradhi kwa picha hii hivi ndivyo wasamalia wema waliowenza kumpoa mtoto huyo kwenye shimo la choo.
Tukio hili la kusikitisha limetokea Mkoani Iringa ambapo mwanamke mmoja alijifungua mtoto na kisha kumdumbukiza katika tundu la choo. Mtoto huyo alizaliwa nyumbani sio hospitali baadae siku ya tarehe 04/11/2014 mama huyo alimdumbukiza kichanga hicho mwenye jinsia ya Kiume chooni.

Mama huyo alietambulika kwa jina la Magdalena inasemekana lengo kuu la kufanya kitendo hiko cha kikatili ni kuficha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua

“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito  kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Atupwa chooni baada ya kuzaliwa

WATOTO watatu wamefariki dunia katika matukio  tofauti likiwemo la mtoto wa siku moja kutupwa chooni na mama yake, Mwacheni Amani (18). Mwacheni mkazi wa Idweli wilayani Rungwe, Mbeya alimtupa mtoto...

 

9 years ago

Mtanzania

Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua

kimCHICAGO, MAREKANI

NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.

Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.

“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto atupwa jela miaka 30

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa Madibira wilayani hapa kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua

Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa  wa bongo  movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga  kurudi kwa kishindo  kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.

Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua  mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu  maswala ya wazazi  ili kueleimisha  wanawake  wenye tabia ya kutupu watoto  wachanga mara baada ya kujifungua.

Aidha amesema  huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha...

 

11 years ago

GPL

KUAMBIANA ALIMTABIRIA RECHO KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

NaErick Evarist ALIYEKUWA dairekta na muigizaji mkali Bongo, marehemu Adam Kuambiana alimtabiria staa wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ kuwa atajifungua mtoto wa kiume. Staa wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Recho ambaye ni wa leo wa kesho kujifungua, alikutana na marehemu maeneo ya Sinza jijini Dar na kumwambia atajifungua mtoto wa kiume na angependa aitwe...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto wa miaka 6 atupwa jela maisha

MFANYAKAZI wa nyumbani, Hatibu Adamu (20) amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike wa miaka sita.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke aliyemtesa mtoto atupwa jela miaka 3

MWANAMKE mkazi wa Kata ya Iyela jijini hapa, Mwanahawa Nassoro (32) amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kunyanyasa na kumtesa mtoto. Mwanamke huyo alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Mbeya mjini jana, akikabiliwa na shitaka la kumtesa mtoto, John Paul (3) ambaye ni mtoto wa kaka yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia kujifungua mtoto mwenye kasoro kimaumbile

>Kwenye mipango ya afya, moja ya kanuni ni kuhakikisha kila mtoto anayezaliwa anakuwa na hali bora kiafya, ikijumuisha akili na mwili.Mazingira hayo yamekuwa yakiwafanya wanasayansi kuendesha tafiti mbalimbali ili kukabili tatizo la watoto kuzaliwa wakiwa na ama na ukosefu wa viungo au athari za kiakili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani