Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio)
Hii stori imesikika kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM ambapo mwanamke mmoja amekimbiwa na mumewe baada ya kujifungua hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. Mwanamke huyo amesema baada ya kutoka hospitali alikuta mwanaume kabeba kila kitu kwenye nyumba walipokuwa wamepanga, akakosa msaada mpaka akajitokeza mama mmoja ambaye alimsaidia kumpa hifadhi kwa muda. Japo wameishi […]
The post Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)
Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]
The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio)
Kama umekuwa mfatiliaji wa stori za Magazetini wiki iliyopita kulikuwa na stori kubwa ambayo ilitawala sana kuhusu ishu ya ripoti za vipimo vya DNA kuwa kati ya walioenda kupima DNA imeonesha 49% ya watoto wanalelewa na baba ambao sio baba wazazi. Baba wa mtoto huyo amesimulia kwamba hakupendezwa na kitendo cha dada mmoja anayeuza duka la […]
The post Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Hekaheka ya wanawake wa VICOBA walivyovamia wakachukue vyao wanakodai !! (+Audio)
Hekaheka inagusa story za mtaani, visa kwenye kona na mitaa mbalimbali ya Dar na kwingineko… ya leo inahusu ishu ya VICOBA, dada mmoja kakopeshwa pesa za VICOBA na hajarudisha zaidi ya miaka mitatu !! Kwa sababu wanawake hao wanakuwa na vikundi hivi, ilibidi wajikusanye wamfate mwanamke huyo ili wakanyang’anye vitu kufidia deni lao… baada ya […]
The post Hekaheka ya wanawake wa VICOBA walivyovamia wakachukue vyao wanakodai !! (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio)
Baada ya siku chache kupita tangia Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa kutembelee vituo vya mabasi ya mwendo kasi Dar na kuamuru mabasi hayo kuanza kazi kabla ya Jan 10 2016, leo kaibukana hili lingine. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu […]
The post Waziri Mkuu Majaliwa Kaibuka na hili jingine kwenye mabasi ya mwendo kasi Dar…!(+Audio) appeared first on...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua
“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BSqXY9fQjZk/VF8Y0VA06HI/AAAAAAAAEN4/7co6sr18hP8/s72-c/mtoto%2Bkatupwa%2Bchooni.jpg)
MTOTO ATUPWA CHOO BAADA YA KUJIFUNGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSqXY9fQjZk/VF8Y0VA06HI/AAAAAAAAEN4/7co6sr18hP8/s640/mtoto%2Bkatupwa%2Bchooni.jpg)
Tukio hili la kusikitisha limetokea Mkoani Iringa ambapo mwanamke mmoja alijifungua mtoto na kisha kumdumbukiza katika tundu la choo. Mtoto huyo alizaliwa nyumbani sio hospitali baadae siku ya tarehe 04/11/2014 mama huyo alimdumbukiza kichanga hicho mwenye jinsia ya Kiume chooni.
Mama huyo alietambulika kwa jina la Magdalena inasemekana lengo kuu la kufanya kitendo hiko cha kikatili ni kuficha...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua
CHICAGO, MAREKANI
NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.
Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.
“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua
Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga kurudi kwa kishindo kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.
Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu maswala ya wazazi ili kueleimisha wanawake wenye tabia ya kutupu watoto wachanga mara baada ya kujifungua.
Aidha amesema huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha...
10 years ago
CloudsFM27 Apr
Baada ya Frolah Mvungi kujifungua,ajipanga kuachia filamu mbili
Baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Afrika,mwigizaji wa filamu za Kibongo,Florah Mvungi amejipanga kuachia filamu mbili kwa mpigo.
Mume wa msanii huyo,msanii H.Baba akizungumza kwa niaba ya mkewe alisema kuwa kwa sasa yeye na mkewe ni muda wao wa kufanya kazi kwani wana mpango wa kuachia filamu mbili mpya kwa mpigo ambazo hajazitaja jina.
‘Unajua tulipanga tuzae watoto wawili tunashukuru mipango yetu imetimia sasa ni muda wa kufanya kazi,nitaachia ngoma yangu mpya hivi karibuni na...