Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hekaheka ya wanawake wa VICOBA walivyovamia wakachukue vyao wanakodai !! (+Audio)

Hekaheka inagusa story za mtaani, visa kwenye kona na mitaa mbalimbali ya Dar na kwingineko… ya leo inahusu ishu ya VICOBA, dada mmoja kakopeshwa pesa za VICOBA na hajarudisha zaidi ya miaka mitatu !! Kwa sababu wanawake hao wanakuwa na vikundi hivi, ilibidi wajikusanye wamfate mwanamke huyo ili wakanyang’anye vitu kufidia deni lao… baada ya […]

The post Hekaheka ya wanawake wa VICOBA walivyovamia wakachukue vyao wanakodai !! (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio)

Kama umekuwa mfatiliaji wa stori za Magazetini wiki iliyopita kulikuwa na stori kubwa ambayo ilitawala sana kuhusu ishu ya ripoti za vipimo vya DNA kuwa kati ya walioenda kupima DNA imeonesha 49% ya watoto wanalelewa na baba ambao sio baba wazazi. Baba wa mtoto huyo amesimulia kwamba hakupendezwa na kitendo cha dada mmoja anayeuza duka la […]

The post Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)

Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]

The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio)

Hii stori imesikika kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM ambapo mwanamke mmoja amekimbiwa na mumewe baada ya kujifungua hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. Mwanamke huyo amesema baada ya kutoka hospitali alikuta mwanaume kabeba kila kitu kwenye nyumba walipokuwa wamepanga, akakosa msaada mpaka akajitokeza mama mmoja ambaye alimsaidia kumpa hifadhi kwa muda. Japo wameishi […]

The post Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA GEPF KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA VICOBA WA UYACODE KATIKA KUTOA KINGA YA HIFADHI YA JAMII KWA WANACHAMA WA VICOBA

Mratibu wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akimkaribisha mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kana vicoba Group Bw Aloyce Ntukamazina kwa kumueleza machache kabla ya uzinduzi rasmi, aliye katikati ni meneja wa GEPF mkoa wa kinondoni Bw Mohammed Nyallo.Mratibu wa Umoja wa Vikoba wa Uyacode Bw Aldo Lusinde akelezea mafanikio na matarajio ya Umoja wa Uyacode wenye jumla ya wanachama 27,000 na ofisi katika mikoa 18 ya Tanzania Bara na mmoja wa Zanzibar Mkuu wa Kitengo cha masoko kutoka GEPF Bw Aloyce...

 

9 years ago

MillardAyo

Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)

Nakupa baadhi ya headlines zilizoguswa na Uchambuzi wa stori za Magazetini January 4 2016 mtu wangu… Mbunge Zitto Kabwe ampa jipu jingine Rais Magufuli, ni la walioweka fedha Uswisi. Bomoabomoa yadaiwa kumhujumu Rais Magufuli, baadhi ya watumishi waendesha zoezi hilo kumfanya achukiwe na waliomchagua Oktoba 2015… Matukio ya ujambazi unaofanywa kwa wateja wanaotoa pesa Benki yatia […]

The post Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hekaheka CHADEMA

HARAKATI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujiimarisha kupitia operesheni mbalimbali wanazozifanya ikiwemo ya M4C Pamoja Daima zimeanza kuwatia hofu ya kung’oka madarakani wabunge na viongozi wa Chama Cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hekaheka za usajili Ulaya

Hekaheka za usajili zapamba moto barani ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani