Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hekaheka CHADEMA

HARAKATI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujiimarisha kupitia operesheni mbalimbali wanazozifanya ikiwemo ya M4C Pamoja Daima zimeanza kuwatia hofu ya kung’oka madarakani wabunge na viongozi wa Chama Cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hekaheka za usajili Ulaya

Hekaheka za usajili zapamba moto barani ulaya

 

11 years ago

Habarileo

Hekaheka uchaguzi mdogo Kiembesamaki zaanza

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeanza kutoa fomu kwa ajili ya wagombea wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiembesamaki, utakaofanyika Februari 2, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Hekaheka za kimila zayumbisha ibada ya maziko

KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, wachungaji wawili wa Kanisa la Assemblies of God katika kijiji cha Borenga Kata ya Kisaka wilayani hapa, nusura wasuse kushiriki kuendesha ibada ya kumzika Saghi Maghambo (19) ambaye alifariki kwa maradhi.

 

10 years ago

Habarileo

Akaunti ya pamoja Bara, Z'bar hekaheka

MWENYEKITI wa Kamati Namba Moja, Ummy Mwalimu, amesema pamoja na Kamati yake kupitisha sura zote kwa kupata theluthi mbili kila upande, suala la akaunti ya pamoja kwa Tanzania Bara na Zanzibar, hawakufanya uamuzi na lilikuwa na hekaheka kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hekaheka kwa Lowassa, Wasira kuwa ‘live’ kesho

Arusha/Morogoro. Wakati mji wa Arusha umekumbwa na hekaheka nyingi kwa ajili ya maandalizi ya shughuli ya leo ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza nia ya kugombea urais, kada mwingine wa CCM, Steven Wasira amesema ataonekana moja kwa moja kwenye televisheni mbili wakati akitangaza nia kesho.

 

9 years ago

MillardAyo

Hekaheka ya wanawake wa VICOBA walivyovamia wakachukue vyao wanakodai !! (+Audio)

Hekaheka inagusa story za mtaani, visa kwenye kona na mitaa mbalimbali ya Dar na kwingineko… ya leo inahusu ishu ya VICOBA, dada mmoja kakopeshwa pesa za VICOBA na hajarudisha zaidi ya miaka mitatu !! Kwa sababu wanawake hao wanakuwa na vikundi hivi, ilibidi wajikusanye wamfate mwanamke huyo ili wakanyang’anye vitu kufidia deni lao… baada ya […]

The post Hekaheka ya wanawake wa VICOBA walivyovamia wakachukue vyao wanakodai !! (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)

Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]

The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

GEA HABIB : Mwanzilishi wa ‘Hekaheka’ anayekerwa na ukatili dhidi ya watoto

Kwa wasikilizaji wa redio, Geah Habib litakuwa si jina geni masikioni mwao. Hilo linatokana na umaarufu mkubwa aliojijengea katika kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na Clouds Fm.

 

9 years ago

MillardAyo

Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio)

Kama umekuwa mfatiliaji wa stori za Magazetini wiki iliyopita kulikuwa na stori kubwa ambayo ilitawala sana kuhusu ishu ya ripoti za vipimo vya DNA kuwa kati ya walioenda kupima DNA imeonesha 49% ya watoto wanalelewa na baba ambao sio baba wazazi. Baba wa mtoto huyo amesimulia kwamba hakupendezwa na kitendo cha dada mmoja anayeuza duka la […]

The post Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani