Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hekaheka za kimila zayumbisha ibada ya maziko

KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, wachungaji wawili wa Kanisa la Assemblies of God katika kijiji cha Borenga Kata ya Kisaka wilayani hapa, nusura wasuse kushiriki kuendesha ibada ya kumzika Saghi Maghambo (19) ambaye alifariki kwa maradhi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)

Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]

The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...

 

11 years ago

Michuzi

Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga

NENO LA LEO: Luka 6: 27-28  Lakini nawaambia nyie mnaosikia, wapendeni adui zenu,watendeeni mema wale ambao wanaowachukia ninyi.  28 Wabarikieni wale ambao wanawalaani ninyi, Waombeeni wale ambao wanaowaonea ninyi.
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Karibuni Ibada ya Kuabudu na Kusifu - Jumapili Januari 18, 2015 Ibada itaanza saa kumi kamili 4:00pm (EST)

Ibada ya Kiswahili inakukaribisha Rasmi katika Ibada ya Pili ya mwezi wa Januari 2015Kwa Baraka za Mungu tumebarikiwa kuanza mwaka 2015 kwa Ibada mbili kila mwezi,  Ibada ya pili itaongozwa na Kuabudu na Kusifu - Januari 18, 2015 Saa Kumi kamili 4:00pm*** www.iykcolumbus.org ***

 

11 years ago

Michuzi

Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm

 Anza Siku njema na NENO la MUNGU kila siku kwa kutembelea Ibada ya Kiswahili website na Ukurasa wa Ibada ya Kiswahili kwenye Facebook.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hekaheka CHADEMA

HARAKATI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujiimarisha kupitia operesheni mbalimbali wanazozifanya ikiwemo ya M4C Pamoja Daima zimeanza kuwatia hofu ya kung’oka madarakani wabunge na viongozi wa Chama Cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hekaheka za usajili Ulaya

Hekaheka za usajili zapamba moto barani ulaya

 

11 years ago

Habarileo

Hekaheka uchaguzi mdogo Kiembesamaki zaanza

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeanza kutoa fomu kwa ajili ya wagombea wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiembesamaki, utakaofanyika Februari 2, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Akaunti ya pamoja Bara, Z'bar hekaheka

MWENYEKITI wa Kamati Namba Moja, Ummy Mwalimu, amesema pamoja na Kamati yake kupitisha sura zote kwa kupata theluthi mbili kila upande, suala la akaunti ya pamoja kwa Tanzania Bara na Zanzibar, hawakufanya uamuzi na lilikuwa na hekaheka kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hekaheka kwa Lowassa, Wasira kuwa ‘live’ kesho

Arusha/Morogoro. Wakati mji wa Arusha umekumbwa na hekaheka nyingi kwa ajili ya maandalizi ya shughuli ya leo ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza nia ya kugombea urais, kada mwingine wa CCM, Steven Wasira amesema ataonekana moja kwa moja kwenye televisheni mbili wakati akitangaza nia kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani