Hekaheka kwa Lowassa, Wasira kuwa ‘live’ kesho
Arusha/Morogoro. Wakati mji wa Arusha umekumbwa na hekaheka nyingi kwa ajili ya maandalizi ya shughuli ya leo ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza nia ya kugombea urais, kada mwingine wa CCM, Steven Wasira amesema ataonekana moja kwa moja kwenye televisheni mbili wakati akitangaza nia kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhzHrPAhNcvHhpmBnVGcgGKxrvWMbJtloJwfsngrbgOQB7t*HkPln2dtUzu0FBJP5ICGr9NpzimKrBAn0RaK8FwA/DARLIVE.jpg?width=650)
KESHO NDIYO KESHO DAR LIVE
10 years ago
Vijimambo25 Feb
Hukumu ya kina Lowassa, Wasira, Membe Jumamosi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nAPE-25Feb2015.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC-CCM) Taifa, itafanya kikao cha kawaida cha siku moja Jumamosi ijayo, huku hatima ya makada sita wa chama hicho, akiwamo Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, kama walitimiza au la masharti ya adhabu ya kifungo cha miezi 12 waliyopewa na Chama, ikitarajiwa kujulikana baada ya kikao hicho cha CC.
Pia inatarajia kutoa hatima ya Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna...
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)
9 years ago
GPL02 Oct
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Hekaheka: Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/92KBrfAhanc/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Bella kutikisa Dar Live kesho
Na Mwandishi Wetu
MKALI wa sauti, Christian Bella, anatarajiwa kupagawisha mashabiki wake kesho kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Msanii huyo anatarajia kushuka jukwaani na wimbo mpya ambao anatamba nao kwa sasa alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide, uitwao Acha Kabisa.
Mkali huyo mwenye kibao cha ‘Nashindwa’ anatarajia kufunga mwaka kwa kukata kiu kwa mashabiki wake kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama vile Nani Kama Mama,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nq3-j1pclHc/VS4c5Kxa1aI/AAAAAAADiZw/8L2CXMkLeiw/s72-c/IMG-20150414-WA0079.jpg)