Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)
Nakupa baadhi ya headlines zilizoguswa na Uchambuzi wa stori za Magazetini January 4 2016 mtu wangu… Mbunge Zitto Kabwe ampa jipu jingine Rais Magufuli, ni la walioweka fedha Uswisi. Bomoabomoa yadaiwa kumhujumu Rais Magufuli, baadhi ya watumishi waendesha zoezi hilo kumfanya achukiwe na waliomchagua Oktoba 2015… Matukio ya ujambazi unaofanywa kwa wateja wanaotoa pesa Benki yatia […]
The post Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Utafiti:Wanaume wanapenda wanawake wenye makalio makubwa
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe? (+Audio)
Magazeti ya January 6 2016 yako mtaani na hapa ninazo stori kubwakubwa zilizoguswa na uchambuzi wa Magazetini kwenye show ya Powerbreakfast Clouds FM… Waziri Mkuu Majaliwa awaonya madaktari wanaotoa mimba wasichana Ruvuma, atishia kuwachukulia hatua… Mahakama Kuu yazuia bomoabomoa kwenye nyumba 674 Dar, Naibu Waziri Kigwangalla aridhishwa na huduma katika hospitali ya Muhimbili. Wadau wakerwa bei ya […]
The post Bomoabomoa Dar? Wanaotoa mimba? Nauli mwendokasi? Majipu ya Dk.Mwakyembe?...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Wapenda makalio makubwa hatarini kupata saratani ya ubongo
NI kitendo chenye madhara makubwa kwa afya na hata kuchukua uhai wa mwanadamu, lakini hakielekei kukoma
miongoni mwa wanawake kwa sababu tu ya kuabudu urembo.
Ni uchomaji sindano makalioni ili kuyakuza kuwa katika ukubwa wanaoutaka, ambao hapa Tanzania kwa jina la mitaani unajulikana kama makalio ya Kichina.
Wanawake kote nchini Marekani na kwingineko duniani wamekuwa wakihatarisha maisha yao kwa kumiminika katika ‘soko jeusi’ la upandikizaji makalio ili wapate yenye ukubwa...
10 years ago
Bongo513 Feb
Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu — Lady Jaydee
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Huduma ya Tigo Pesa yarejea baada ya maboresho makubwa ya mfumo
Huduma ya kifedha ya simu za mkononi nchini Tigo Pesa imerejesha huduma zake baada ya kusitishwa kwa muda mwishoni mwa wiki ili kufanya majaribio ya mfumo wa huduma ulioboreshwa.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na kampuni leo jijini Dar es Salaam ilisema huduma ya Tigo Pesa ilirejea tena siku ya Jumapili alasiri baada ya kuzimwa kwa muda wa masaa 17 kuanzia Jumamosi saa mbili usiku.
Sehemu ya taarifa ilisomeka kwamba: “Tunafuraha kuwataarifu wateja wetu kuwa huduma ya Tigo Pesa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXUvfWPEulwn4D3r7l2v5bTdRyVC3A82Ra-PZQIqASzvJlihjZBzyv*Pl6atYYjgREO*LNGNm7Le15Ib4aMHKUeK/Screenshot_20150513232840_1.jpg?width=650)
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Wanawake waliofanya makubwa nchini
HARAKATI za wanawake zimeshika hatamu si kwa bara la Ulaya tu, bali hata Afrika hususan hapa nchini. Ingawa harakati hizo zimeanzia mbali, kwa wanawake kutaka kufanya mambo sawa na wanaume...
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Maandamano makubwa Siku ya Wanawake leo