Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake waliofanya makubwa nchini

HARAKATI za wanawake zimeshika hatamu si kwa bara la Ulaya tu, bali hata Afrika hususan hapa nchini. Ingawa harakati hizo zimeanzia mbali, kwa wanawake kutaka kufanya mambo sawa na wanaume...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maandamano makubwa Siku ya Wanawake leo

Siku ya Kimataifa ya Wanawake, inaadhimishwa kitaifa mkoani Morogoro leo, wakati mjini Dar es Salaam, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete atapokea maandamano ya wanawake kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Wanaume wanapenda wanawake wenye makalio makubwa

Utafiti unaonesha kuwa ni kweli wanaume wanapendelea wanawake wenye makalio makubwa

 

9 years ago

MillardAyo

Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)

Nakupa baadhi ya headlines zilizoguswa na Uchambuzi wa stori za Magazetini January 4 2016 mtu wangu… Mbunge Zitto Kabwe ampa jipu jingine Rais Magufuli, ni la walioweka fedha Uswisi. Bomoabomoa yadaiwa kumhujumu Rais Magufuli, baadhi ya watumishi waendesha zoezi hilo kumfanya achukiwe na waliomchagua Oktoba 2015… Matukio ya ujambazi unaofanywa kwa wateja wanaotoa pesa Benki yatia […]

The post Jipu la pesa Uswisi? bomoabomoa Dar? wanawake na makalio makubwa, vitambi? #StoriKUBWA.. (+Audio)...

 

10 years ago

Michuzi

Mapambano dhidi ya Ujangili nchini yaonesha mafanikio makubwa

Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma KAMATI ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imesema kuwa hatua za Serikali za kupambana na ujangili nchini zimeonesha mafanikio makubwa. Akitoa taarifa ya Utekelezaji wa Kazi za Kamati, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe James Lembeli (pichani) alisema kuwa pamoja na mafanikio mengine hatua hiyo imefanikiwa kukamata silaha 2000. Alisema hadi kufikia mwaka 2013, hali ya ujangili wa tembo ilikadiriwa kufikia tembo 30 kwa siku, lakini Serikali ilichukua hatua ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA MWAKA 2015

BENDI MPYA•Tarehe 31-Jan-2015, BMM Classic Band, ilizinduliwa katika ukumbi wa BMM Mwenge, opposite TRA.•Tarehe 21-Feb-2015,  JJ Band yazinduliwa katika ukumbi wa. JJ Band ni bendi dada ya Skylight Band itakayokuwa inatumbuiza mjini Mwanza katika hotel ya Jembe ni Jembe Resort. •Tarehe 06-Mar-2015 (Ijumaa), Ruby Band ilitambulishwa rasmi katika ukumbi wa Coco Beach Pub ambapo pia ilizindua video ya wimbo mpya wa “Noma”.•Tarehe 18-Jul-2015 (Jumamosi), Stars Band yazinduliwa katika ukumbi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tathmini ya Programu ya IFAD nchini Tanzania yaonyesha mafanikio makubwa

Mkurugenzi wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Bw. Oscar Garcia akitoa ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuonyesha mafanikio ya programu ya IFAD nchini Tanzania, warsha...

 

10 years ago

GPL

TATHMINI YA PROGRAMU YA IFAD NCHINI TANZANIA YAONYESHA MAFANIKIO MAKUBWA‏

Mkurugenzi wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Mr Oscar Garcia akitoa ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.

Waziri wa Kilim, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani