Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshirika wa Lowassa atuhumiwa siyo raia

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji nchini, wanafanya uchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili mwanaharakati na mshirika wa aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, Bashir Awale anayetuhumiwa kuwa Mkenya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Eti Watanzania wengi siyo raia?

Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nimepoteza pambano siyo vita

Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amesema ataendelea kushiriki kikamilifu katika siasa na kubainisha kuwa utaendeleza mapambano ya mabadiliko kwa kudai Katiba Mpya.

 

9 years ago

Raia Mwema

Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa Chadema siyo Tanzania

MOJAWAPO ya mambo ya kutisha zaidi kutoka katika historia ya kisiasa ya nchi yetu ni hii hamasa a

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA KWENDA UKAWA SAWA ILA WANASIASA SIYO WA KUWAAMINI!

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa.
HAKUNA adui wala rafiki wa kudumu katika siasa. Huu ni msemo ulioasisiwa na mwanadiplomasia wa Israel, Avil Primor ambaye amepata kufanya kazi katika nchi mbalimbali duniani, ikiwemo ubalozi wa nchi yake nchini Ujerumani (1993-99) na katika Umoja wa Ulaya (1987-91).

Alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia urafiki kati ya nchi yake na Iran ulivyokuwa. Kabla ya mapinduzi ya nchi hiyo ya Kiarabu ambayo ni taifa la Kiislamu mwaka 1979 yaliyomuweka...

 

9 years ago

Mwananchi

MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli

Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2015, kuna watu wanachanganya mambo.Ushabiki unakuwa mkubwa na wakati mwingine watu wanaacha kabisa kufikiri. Ni vyema ufafanuzi ukafanyika, ili twende sawa.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi Moshi wamuua mshirika wao kwa risasi

Watu wanaoaminika kuwa majambazi waliokuwa na silaha za moto, wamemuua mwenzao kwa kumpiga risasi usoni baada ya majambazi hao kujichanganya wakati wakiwa katika harakati za kutoroka.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mshirika wa Waziri Muhongo anaswa na ripoti feki ya CAG

JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia mtu mmoja kwa madai ya kukutwa na ripoti  ya kughushi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG). Ripoti hiyo ambayo ni matokeo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Benjamin Griveaux: Video ya ngono yamfanya mshirika wa Macron kujiuzulu

Benjamin Griveaux ameshutumu video ya ngono dhidi yake iliyowekwa mtandaoni na msanii wa Urusi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani