Majambazi Moshi wamuua mshirika wao kwa risasi
Watu wanaoaminika kuwa majambazi waliokuwa na silaha za moto, wamemuua mwenzao kwa kumpiga risasi usoni baada ya majambazi hao kujichanganya wakati wakiwa katika harakati za kutoroka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Jun
Majambazi 7 wamuua mfanyabiashara kwa 300,000/-
MAJAMBAZI 7 wakiwa na silaha mbalimbali wamemuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara Felix Laungeni (58) ambaye ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Majambazi wamuua sista, wapora fedha
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Majambazi yamuua Sista kwa risasi Dar
WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemuua kwa kumpiga risasi mtawa wa Kanisa Katoliki, Sista Clezensia Kapuli ambaye ni mhasibu wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuwarite, iliyopo Ubungo Makoka jijini...
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Majambazi Bunda yaua muuza vitumbua kwa risasi
Na Ahmed Makongo, Bunda
WAKAZI wa mji wa Bunda mkoani Mara hivi sasa wanaishi maisha ya hofu baada ya kundi la majambazi kuvamia na kumuua muuza vitumbua.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:40 usiku na kusababisha taharuki kwa wananchi ambao walilazimika kukimbia kunusuru uhai wao.
Majambazi hayo yalivamia katika eneo jirani na Benki ya NMB Tawi la Bunda na kufyatua risasi ambayo ilimuua kijana huyo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, majambazi hayo pia yalivamia katika vibanda vya...
11 years ago
CloudsFM02 Jul
MAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI, UBUNGO YAKAMATWA
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.
Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari,aliwataja majambazi wanaohusishwa na mauaji ya Sista Kapuli kuwa ni Manase Ogenyeke “mjeshi” (35)...
10 years ago
VijimamboMAJAMBAZI WAKIZUNGU WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO KWA KUPIGWA NA RISASI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZteVGwBpcEY/U7QRF1YEHiI/AAAAAAAFuZI/ha8_fQl4WU0/s72-c/1c08e25638ac6f84c8c08ea75fe7edb8.jpg)
majambazi yashambulia kwa risasi karandinga la magereza jijijni dar es salaam leo, shuhuda asimulia kilichotokea
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WBxDXBYNlGg/VioHGkUu44I/AAAAAAAAVyM/oNHhJuKU1vE/s72-c/IMG_1667%2B%25281280x853%2529.jpg)
NMB MOSHI WATOA KIFUNGUA KINYWA KWA WATEJA WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WBxDXBYNlGg/VioHGkUu44I/AAAAAAAAVyM/oNHhJuKU1vE/s640/IMG_1667%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCGe_AR0KMk/VioHVbY59uI/AAAAAAAAVyU/YqabOsW2EJY/s640/IMG_1672%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s5xj3JQ1A08/VioHXwLBFXI/AAAAAAAAVyc/ZxQbHr-6Dy0/s640/IMG_1678%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s8Kom8fYMMA/VioHeJ27yOI/AAAAAAAAVyk/nt1trQvKWqA/s640/IMG_1679%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2W4afsZ9Q/VioHlmkjxgI/AAAAAAAAVys/t3dJ5BhSAiI/s640/IMG_1680%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dk9kZ7nnR1U/VioHviyirlI/AAAAAAAAVy0/78VgOBA78ww/s640/IMG_1682%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1hN96269qgQ/VioH3dOAGrI/AAAAAAAAVy8/AAEJx44AkQ8/s640/IMG_1684%2B%25281280x853%2529.jpg)