Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi Bunda yaua muuza vitumbua kwa risasi

KALANGI 1Na Ahmed Makongo, Bunda

WAKAZI wa mji wa Bunda mkoani Mara hivi sasa wanaishi maisha ya hofu baada ya kundi la majambazi kuvamia na kumuua muuza vitumbua.

Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:40 usiku na kusababisha taharuki kwa wananchi  ambao walilazimika kukimbia   kunusuru uhai wao.

Majambazi hayo yalivamia katika eneo    jirani na Benki ya NMB Tawi la Bunda na kufyatua risasi ambayo ilimuua kijana huyo.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, majambazi hayo pia  yalivamia katika vibanda vya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi

Polisi wawili mkoani Geita, G 6512 PC Hamis Zunzu na E1465 Koplo Said Mohamed wamejeruhiwa kwa kupigwa risasi na watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi raia wa Burundi na Mtanzania mmoja, huku jambazi mmoja akiuawa na wananchi baada ya kujeruhiwa na risasi mguu na kushindwa kukimbia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yamuua Sista kwa risasi Dar

WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemuua kwa kumpiga risasi mtawa wa Kanisa Katoliki, Sista Clezensia Kapuli ambaye ni mhasibu wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuwarite, iliyopo Ubungo Makoka jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi Moshi wamuua mshirika wao kwa risasi

Watu wanaoaminika kuwa majambazi waliokuwa na silaha za moto, wamemuua mwenzao kwa kumpiga risasi usoni baada ya majambazi hao kujichanganya wakati wakiwa katika harakati za kutoroka.

 

11 years ago

CloudsFM

MAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI, UBUNGO YAKAMATWA

Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.

Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari,aliwataja majambazi wanaohusishwa na mauaji ya Sista Kapuli kuwa ni Manase Ogenyeke “mjeshi” (35)...

 

10 years ago

Vijimambo

MAJAMBAZI WAKIZUNGU WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO KWA KUPIGWA NA RISASI


SEHEMU YA KITI ALIPOKAA NA KUPIGWA RISASI,Habari zinasema kuwa polisi mkoani dar es salaam jana mchana walifanikiwa kuwatia mbaroni majambazi wawili ambao inasemekana ni raia wa italia baada ya kupora kiasi cha dola elfu kumi kwa mwananchi ndipo polisi walipoanza mapambano nao na hadi kuwatia nguvuni baada ya luwadhibiti na risasi.PICHA ZOTE KWA MSAADA WA http://jijiletublog.blogspot.com/WAKIWA NJE YA APARTMENT YAO WALIKOKIMBILIAGARI WALIYOTUMIA KUPORAPOLISI WAKIWATIA KWENYE GARI MARA BAADA...

 

11 years ago

Michuzi

majambazi yashambulia kwa risasi karandinga la magereza jijijni dar es salaam leo, shuhuda asimulia kilichotokea

Kwa mujibu wa mdau aliyeshuhudia tukio lote hilo live anatupasha:Ishu ilikuwa hivi, kuna gari ndogo ilikuwa inatokea njia ya Kawe kwenda Shopperz au ilikuwa inaelekea mjini kwa kutumia hii njia ya Mwai Kibaki road. Hiyo gari ndogo ilipofika Maeneo ya Million Hairs Salon jirani kabisa na Regency park hotel ikakwama kwenye foleni ndefu sana. Nyuma ya hiyo gari ndogo kulikuwa na magari mengine yameunga hiyo foleni.Gari ya magereza ikiwa na wafungwa ilikuwa ni kama ya sita au ya nne nyuma ya...

 

9 years ago

Habarileo

Maji yaua watoto 2 Bunda

MVUA zinazoendelea kunyesha wilayani Bunda, mkoani Mara zimesababisha kifo cha mtoto wa miaka sita, baada ya kusombwa na maji.

 

11 years ago

GPL

MAJAMBAZI YAUA ARUSHA

Mwananchi mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha. Majambazi hao walikuwa wakipora kwenye Bureau Change iitwayo Nothern ambapo marehemu alikuwa akipita jirani na eneo hilo na alipowaona alipiga kelele ndipo akafyatuliwa risasi kadhaa na kupoteza maisha.…

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wampiga risasi mfanyabiashara nyumbani

Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemvamia na kumjeruhi kwa risasi, mfanyabiashara maarufu wa simu jijini Mbeya, Obadia Mtawa (41).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani