Majambazi yamuua Sista kwa risasi Dar
WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemuua kwa kumpiga risasi mtawa wa Kanisa Katoliki, Sista Clezensia Kapuli ambaye ni mhasibu wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuwarite, iliyopo Ubungo Makoka jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM02 Jul
MAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI, UBUNGO YAKAMATWA
Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.
Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari,aliwataja majambazi wanaohusishwa na mauaji ya Sista Kapuli kuwa ni Manase Ogenyeke “mjeshi” (35)...
11 years ago
GPLMWILI WA SISTA ALIYEPIGWA RISASI WAAGWA JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZteVGwBpcEY/U7QRF1YEHiI/AAAAAAAFuZI/ha8_fQl4WU0/s72-c/1c08e25638ac6f84c8c08ea75fe7edb8.jpg)
majambazi yashambulia kwa risasi karandinga la magereza jijijni dar es salaam leo, shuhuda asimulia kilichotokea
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJAMBAZI YAUA SISTA UBUNGO
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Majambazi wamuua sista, wapora fedha
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Sista aliyeuawa na majambazi kuagwa leo
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Majambazi Moshi wamuua mshirika wao kwa risasi
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Majambazi Bunda yaua muuza vitumbua kwa risasi
Na Ahmed Makongo, Bunda
WAKAZI wa mji wa Bunda mkoani Mara hivi sasa wanaishi maisha ya hofu baada ya kundi la majambazi kuvamia na kumuua muuza vitumbua.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:40 usiku na kusababisha taharuki kwa wananchi ambao walilazimika kukimbia kunusuru uhai wao.
Majambazi hayo yalivamia katika eneo jirani na Benki ya NMB Tawi la Bunda na kufyatua risasi ambayo ilimuua kijana huyo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, majambazi hayo pia yalivamia katika vibanda vya...