Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sista aliyeuawa na majambazi kuagwa leo

Sista wa Kanisa Katoliki, Clencensia Kapuli aliyeuawa na majambazi na kuporwa kiasi kikubwa cha fedha ambacho bado hakijafahamika, anatarajiwa kuagwa leo katika Parokia ya Mtakatifu Gaudence Makoka, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAJAMBAZI YAUA SISTA UBUNGO

SISTA wa Prokia ya Makoka iliyopo Kibamba, ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es Salaam hivi punde! Habari zaidi pamoja na picha zitawajia baadaye!

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wamuua sista, wapora fedha

>Majambazi wamemuua kwa risasi Sista wa Kanisa Katoliki Clencensia Kapuli (50) na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambacho hakijajulikana.

 

11 years ago

GPL

UNDANI POLISI ALIYEUAWA NA MAJAMBAZI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Going,’ Pwani
JUMANNE, Juni 10, mwaka huu majambazi yapatayo sita, yalivamia Kituo Kidogo cha Polisi Kimanzichana na kupora silaha na baadaye kumuua askari polisi mmoja, mgambo mmoja na kumjeruhi mwingine na kutoweka. Marehemu Venance Mushi enzi za uhai wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, majambazi hayo yalifika katika kituo hicho majira ya saa saba usiku, yakiwa yanakokota bodaboda mbili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yamuua Sista kwa risasi Dar

WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamemuua kwa kumpiga risasi mtawa wa Kanisa Katoliki, Sista Clezensia Kapuli ambaye ni mhasibu wa Shule ya Sekondari Mwenyeheri Anuwarite, iliyopo Ubungo Makoka jijini...

 

11 years ago

CloudsFM

MAJAMBAZI YANAYODAIWA KUMUUA SISTA KWA RISASI, UBUNGO YAKAMATWA

Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi wanaohusishwa na mauaji ya mtawa wa kaniasa Katoliki Sista Clezensia Kapuli,
Zaidi ya watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi nchini.

Hayo yamesemwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar esSalaam Kamishna Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari,aliwataja majambazi wanaohusishwa na mauaji ya Sista Kapuli kuwa ni Manase Ogenyeke “mjeshi” (35)...

 

11 years ago

Michuzi

Matukio ya Kuaga mwili wa askari aliyeuawa na majambazi Tabora

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda leo tarehe 30/04/2014 jioni amewaongoza waombelezaji na watendaji kutoka vyombo vya usalama, askari, taasisi za serikali na zisizo kiserikali za mkoa wa Tabora kuuaga mwili wa Askari PC JUMANNE ambaye aliyefariki baada kupigwa risasi na majambazi akiwa katika majukumu ya utendaji kazi. Mwili wa marehemu PC JUMANNE ukishushwa  kupelekwa ukumbini kwa ajili ya kuagwa RPC Tabora ACP. Suzan Kaganda akiongoza  waombelezaji kuaga mwili wa...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NAKAAYA - SISTA SISTA ft. LADY JAY DEE (Download)



" I wrote this record in 2009 alongside an artist that i had looked up to, whom later on became a dear friend @jidejaydee It was produced by @dunga_santury_trinity at Fishcrab studios. The idea behind the song was an artistic idea of two close friends/ sistas dating the same man, and the expression of the frustration that comes with it.  we had a great time creating #sistasista" - NAKAAYA


Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Nakaaya Ft Lady Jay Dee – Sista Sista

artist_85e17a792a137725bd638accbd98ec0249.jpg

Sikiliza hapa wimbo unaitwa “Sista Sista” kutoka kwa msanii Nakaaya amemshirikisha Lady Jay Dee,Studio Mandugu Digito.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’

Kwa mwanamuziki kufanya kazi kwa mara ya kwanza na muimbaji aliyekuwa akimchukulia kama mtu wake wa mfano, wasiwasi si jambo la kushangaza. Hali hiyo ndio ilimkuta Nakaaya wakati akirekodi wimbo na Lady Jaydee, Sista Sista mwaka 2009. “Niliandika wimbo huu mwaka 2009 pamoja na msanii niliyekuwa namwangalia, ambaye baadaye alikuja kuwa rafiki mkubwa, Lady Jaydee. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani