Matukio ya Kuaga mwili wa askari aliyeuawa na majambazi Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-cSjegndslCI/U2Ei95WHc5I/AAAAAAAFeK4/IgSPjLml578/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda leo tarehe 30/04/2014 jioni amewaongoza waombelezaji na watendaji kutoka vyombo vya usalama, askari, taasisi za serikali na zisizo kiserikali za mkoa wa Tabora kuuaga mwili wa Askari PC JUMANNE ambaye aliyefariki baada kupigwa risasi na majambazi akiwa katika majukumu ya utendaji kazi.
Mwili wa marehemu PC JUMANNE ukishushwa
kupelekwa ukumbini kwa ajili ya kuagwa
RPC Tabora ACP. Suzan Kaganda akiongoza
waombelezaji kuaga mwili wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s72-c/IMG_20150714_173808.jpg)
MWILI WA MMOJA WA ASKARI WALIOUAWA NA MAJAMBAZI KITUO CHA POLISI STAKISHARI WAAGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UjvMQCs5QpA/VaYUcoqS8mI/AAAAAAAABdA/a6VvBc4i8jA/s640/IMG_20150714_173808.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmf7sgKl5dE/VaYUMPqccsI/AAAAAAAABc4/weQXQ0JxyKE/s640/IMG_20150714_173219.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*SEzG3DDbDzUy0RbtNV*AmFsg**R9XawG6NbbT*uuQ9NztxUoCv0C8gCs6CgNJ3EzGxQnwyR6hYj0X74Z4-t4J/polisi.jpg)
UNDANI POLISI ALIYEUAWA NA MAJAMBAZI
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Sista aliyeuawa na majambazi kuagwa leo
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Askari aliyeuawa aagwa na jeshi
10 years ago
StarTV09 Mar
Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana
Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.
Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Kenya:Mwili washahidi aliyeuawa wapatikana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa7lPzCa*8sSRln*MWDqjiJvO5piuvfUTApPhE-m6*dm0gz2LN1ZVTfwh1h2UgfX9XrE8StQlnrsfHtKzht0HSve/a.jpg?width=650)
ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA MKOANI DODOMA
10 years ago
Habarileo07 Jan
Mwili wa Msierra Leone aliyeuawa akitoroka wasota Muhimbili
WAKATI mwili wa mtuhumiwa wa dawa za kulevya, Abdul Koroma (33) aliyeuawa wakati akijaribu kutoroka ukiendelea kuhifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala limesema linasubiri kujitokeza kwa ndugu wa marehemu wakati wowote kwa ajili ya kuja kuuchukua mwili huo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA LEO MKOANI DODOMA, MTUHUMIWA WA MAUAJI AUWAWA NA WANANCHI