Mwili wa Msierra Leone aliyeuawa akitoroka wasota Muhimbili
WAKATI mwili wa mtuhumiwa wa dawa za kulevya, Abdul Koroma (33) aliyeuawa wakati akijaribu kutoroka ukiendelea kuhifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala limesema linasubiri kujitokeza kwa ndugu wa marehemu wakati wowote kwa ajili ya kuja kuuchukua mwili huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jan
Msierra Leone auawa
RAIA wa Sierra Leone, Abdul Koroma (33) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kukutwa na dawa za kulevya, amekufa papo hapo baada ya kupigwa risasi, alipokuwa akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Kenya:Mwili washahidi aliyeuawa wapatikana
10 years ago
StarTV09 Mar
Mwili wa shahidi aliyeuawa Kenya wapatikana
Serikali ya Kenya imeutambua rasmi mwili wa jamaa mmoja uliopatikana katika mbuga ya wanyama, kuwa ni wa shahidi wa mahakama ya ICC, Meshack Yebei, katika kesi inayomkabili makamu wa rais wa Kenya, William Ruto.
Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, uchunguzi wa chembechembe za DNA umehakikisha fika kuwa ni yeye.
Tangazo hilo linatarajiwa kuipa afueni familia ya Yebei, ambayo nusura izike mwili tofauti mnamo mwezi Januari, kabla ya kuambia kwamba mwili huo haukuwa wa mtoto...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cSjegndslCI/U2Ei95WHc5I/AAAAAAAFeK4/IgSPjLml578/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Matukio ya Kuaga mwili wa askari aliyeuawa na majambazi Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-cSjegndslCI/U2Ei95WHc5I/AAAAAAAFeK4/IgSPjLml578/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-abCfpgFtliM/U2Ei-EGu21I/AAAAAAAFeLM/GT1Qt9sUQ3c/s1600/unnamed+(73).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCBTFox9-0czM1zS1hyoWfO5yjG5el9bK1uxxnc96lW7VIjNuXG0YJWfk1GqbewwZ-dmYCEp7eo35FnOpF68NKb1/KUAMBIANAMUIMBILI5.jpg)
MWILI WA KUAMBIANA WAHIFADHIWA MUHIMBILI, VILIO VYATAWALA!
10 years ago
GPLMWILI WA ABDUL BONGE WAHAMISHIWA MUHIMBILI KWA UCHUNGUZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MWILI WA ADAM KUAMBIANA WATOLEWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, WAPELEKWA BUNJU B
11 years ago
GPLMWILI WA ADAM PHILIP KUAMBIANA WATOLEWA MUHIMBILI, KULALA KWAKE BUNJU LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7OD9RfdSkza88n2cwtjrI0cLbYWnK71jZCUDNlh8Un5-R5STnvf3KjkWVI3tLA4VQAmgOWayexS5KNQQ0UkgxQE/Unga.jpg)
WALIONASWA NA UNGA WASOTA JELA