Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msierra Leone auawa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.RAIA wa Sierra Leone, Abdul Koroma (33) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kukutwa na dawa za kulevya, amekufa papo hapo baada ya kupigwa risasi, alipokuwa akijaribu kutoroka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mwili wa Msierra Leone aliyeuawa akitoroka wasota Muhimbili

WAKATI mwili wa mtuhumiwa wa dawa za kulevya, Abdul Koroma (33) aliyeuawa wakati akijaribu kutoroka ukiendelea kuhifadhiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Jeshi la Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala limesema linasubiri kujitokeza kwa ndugu wa marehemu wakati wowote kwa ajili ya kuja kuuchukua mwili huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani