Mshirika wa Waziri Muhongo anaswa na ripoti feki ya CAG
JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia mtu mmoja kwa madai ya kukutwa na ripoti ya kughushi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG). Ripoti hiyo ambayo ni matokeo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania24 Nov
… Waziri wa JK adaiwa kuiba ripoti ya CAG
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
JOTO la kashfa ya wizi wa Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeendelea kupanda mjini Dodoma, huku mmoja wa mawaziri waandamizi akidaiwa kuuiba ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kunyofoa baadhi ya kurasa kisha kuzisambaza mitaani.
Tangu kuwasilishwa kwa ripoti ya CAG bungeni wiki iliyopita, kumeibuka makundi mawili yanayokinzana moja likitaka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9rRTOkRbvyg/VGIf_r1X-tI/AAAAAAAGwlg/LAI5UDbEwSc/s72-c/1....jpg)
UBADHIRIFU KATIKA TASINIA NDOGO YA TUMBAKU WAZIRI CHIZA AKABIDHI RIPOTI YA CAG
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Eng. Christopher Chiza (Mb) hivi karibuni alimkabidhi, Inspecta Jenerali wa Jeshi la Polisi (IGP) Ripoti ya ukaguzi katika Tasnia ya tumbaku, ili kubaini, ubadhirifu na waliosababisha ubadhirifu huo uliopelekea wakulima wa tumbaku kutoa malalamiko yao kwa serikali kutokana na hasara waliopata katika msimu wa kilimo wa 2012/2013.
Tuhuma za ubadhirifu ndani ya Tasnia ya tumbaku ziliwalenga Chama Kikuu cha Ushirika cha WETCU, wakandarasi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Daktari feki anaswa MOI
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Dismas Macha, amekamatwa akiwa na nyaraka mbalimbali za Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), baada kubainika ni daktari ‘feki’ katika Kitengo cha Mifupa (MOI), jijini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W2d201zYQvbalEXZBhFoicFffh2fQrmvqCYY-PoUEmfNx7aUTAe1asxNusBaUy9dNovBiNOTWhYfHoLL7r9o7UP/TRAFIKI.jpg)
TRAFIKI MWINGINE FEKI ANASWA DAR!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqqDiLcGkZNx1-Vc9pO*VWHsowjUPC7S*yTQKcG1ThAgW8GTm*VWdvGWmNffhqf1Zn5VAVadeHPpo89WSZv2m3b-/mwanajeshifeki.jpg?width=650)
MWANAJESHI FEKI ANASWA KWA UTAPELI
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Daktari feki anaswa Hospitali ya Muhimbili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbIH9q7OcJmENYT4hl6N2f0WoYynSV--5u5kOQlykpEiLJ0EQ9T1BREzE11uDetDiZl0pN11HP*3U40bpEnAprg2/tapeli2.jpg?width=650)
ANASWA KWA UTAPELI WA MADINI FEKI
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Ripoti CAG balaa
RIPOTI ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu...
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CAG Utouh amkaanga Muhongo
MSIMAMO wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wa kukataa kuwajibika baada ya kuhusishwa na kashfa ya ukwapuaji wa Sh bilioni 300 zilizokuwa zimehifadhiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow, sasa umeanza kutafasiriwa kuwa ni ung’ang’anizi wa madaraka.
Tafasiri hii imeanza kutolewa sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja tangu Bunge la Jamhuri lilipopitisha maazimio nane yanayotakiwa kufanyiwa kazi na Serikali baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya Escrow, likiwemo la...