CAG Utouh amkaanga Muhongo
MSIMAMO wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wa kukataa kuwajibika baada ya kuhusishwa na kashfa ya ukwapuaji wa Sh bilioni 300 zilizokuwa zimehifadhiwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow, sasa umeanza kutafasiriwa kuwa ni ung’ang’anizi wa madaraka.
Tafasiri hii imeanza kutolewa sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja tangu Bunge la Jamhuri lilipopitisha maazimio nane yanayotakiwa kufanyiwa kazi na Serikali baada ya kutolewa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya Escrow, likiwemo la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Sep
CAG Utouh astaafu
ALIYEKUWA Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ameagwa rasmi baada ya kustaafu wadhifa huo alioutumikia kwa miaka minane huku akilishukuru Bunge kwa kumpa ushirikiano wakati wa utumishi wake.
10 years ago
IPPmedia20 Sep
Who will replace Utouh, the CAG?
IPPmedia
A Buzz has started in Dar es Salaam on who is likely to take over as Controller and Auditor General as the current CAG Ludovick Utouh prepares to leave office. The CAG's Office is one of the most high profile public functions, where personal style matters ...
10 years ago
TheCitizen25 Feb
Utouh urges action on CAG findings
10 years ago
Mwananchi29 Sep
CAG Utouh ameacha rekodi ya uchapakazi
11 years ago
Mwananchi12 May
CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Utouh reveals how EPA, Jairo took heavy toll on him as CAG
10 years ago
KwanzaJamii17 Sep
KAFULILA AMVAA TENA CAG UTOUH KUHUSU RIPOTI AKAUNTI YA ESCROW
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9SOTVAOSyIE/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Mshirika wa Waziri Muhongo anaswa na ripoti feki ya CAG
JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia mtu mmoja kwa madai ya kukutwa na ripoti ya kughushi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG). Ripoti hiyo ambayo ni matokeo...