Eti Watanzania wengi siyo raia?
Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Nov
Mshirika wa Lowassa atuhumiwa siyo raia
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji nchini, wanafanya uchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili mwanaharakati na mshirika wa aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, Bashir Awale anayetuhumiwa kuwa Mkenya.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Dk Chami: Viongozi wengi siyo wasafi
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Cheni (Mkufu) wa LULU wazua utata. Wengi wasema ni kama wa IDRIS. Wachache wadai eti ni FREEMASONS
Baada ya mwanadada LULU kutupia picha yake mpya kwenye mtandao akiwa amevaa cheni ama mkufu mpya shingoni mwake, maswali kadhaa ya wadau yameanzaje kujitokeza kuhusu cheni hiyo pamoja na maana yake.
Huku kukiwa bado kuna vuguvugu la ushindi wa Tshs. MILLIONI 500 za kijana Idris toka jumba la BIG BROTHER na lulu akiwa ni mmoja wa watu wakubwa sana waliokuwa wanawahimiza wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na mipaka yake kumpigia kura kijana huyu ili ashinde, maswali Kadhaa...
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
UN:Waliokufa Gaza wengi ni raia
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Nakala za Katiba siyo muhimu’ kwa Watanzania
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-11Feb2015.jpg)
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Dk. Maro: Watanzania wengi wagonjwa
WATANZANIA wengi ni wagonjwa si tu kutokana na maradhi, bali na hali duni ya maisha inayowakabili. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Isaac Maro, alipokuwa akiwasilisha mada...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Watanzania wengi wanamiliki hisa