Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Chami: Viongozi wengi siyo wasafi

Mbunge wa Moshi Vijijini, Dk Cyril Chami amesema kama Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ingefanya kazi yake barabara, nusu ya viongozi wa umma wangepatikana na makosa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Eti Watanzania wengi siyo raia?

Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.

 

5 years ago

CCM Blog

BABA WA UZAO: PAMBANENI KUONDOA MAOVU MNAKOISHI, YAKITOKEA NINYI NDIYO MNAOPASWA KULAUMIWA SIYO VIONGOZI AU SERIKALI

Baba wa Uzao akihubiria mamia ya waumini wakati wa Ibada iliyofanyika katika Kanisa Halisi la Mungu Baba, Tegeta jijini Dar es Salaam, leo. Picha nyingine zaidi ya 50 za ibada hiyo, Tafadhali >> BOFYA HAPA

CCM Blog, Tegeta.
Makanisa na Waumini wametakiwa kufanya jitihada za kuhakikisha hakuna matendo mabaya kama ujambazi na ukahaba kwa kuwa maovu hayo yakitendeka katika mitaa yao wao ndiyo wanaopaswa kulaumiwa badala ya kuwatupia lawama viongozi.

Hayo yamesemwa na Kiongozi wa Kanisa Halisi la...

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

10 years ago

Vijimambo

JIJI LA DAR ES SALAAM LAPENDEKEZA MAJIMBO MANNE ZAIDI; VIONGOZI WASEMA WATU NI WENGI MNNO

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadicky, akiongoza kikao cha RCC, Ilala Boma jijini leo Jumanne Mei 26, 2015. Kwa pamoja kikao hicho kilichowaleta pamoja, wabunge wote wa Dar es Salaam, wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa Manispaa zote tatu, Temeke, Ilala na Kinondoni, watendaji wa Manispaa hizo, na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wa mkoa, kimependekeza kuongezwa kwa majimbo zaidi ya uchaguzi kwenye jiji hilo lenye wakazi wanaokaribia miulioni 5. Majimbo pendekezwa waliyataja...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

11 years ago

Mwananchi

Chami; mlemavu aliyehitimu chuo kikuu

>Suala la  elimu kwa  walemavu limekuwa likipuuzwa na wazazi, jamii na Serikali kwa ujumlaZipo baadhi ya familia ambazo zinaamini ulemavu ni laana ama mkosi, jambo linalosababisha mtoto anayezaliwa na ulemavu kuishi maisha ya kificho na wakati mwingine huuawa, wakiamini kuwa kuzaa mlemavu ni laana kwenye familia.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM imeleta maendeleo Moshi Vijijini- Chami



MBUNGE wa Moshi Vijijini, Cyril Chami, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeleta maendeleo makubwa katika jimbo hilo tangu kiliposhika madaraka. Chami alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mikocheni,   katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Alisema awali jimbo hilo lilikuwa likiongozwa na viongozi kutoka vyama vya upinzani kwa muda wa miaka 10.
Chami alisema katika kipindi hicho chote, hakuna maendeleo yaliyopatikana, jambo ambalo linaoonyesha kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPA NDIYO NYUMBANI PA WASAFI

Diamond Platnumz Leo kupitia Instagram amekuwa akipost Picha za Mjengo wake katika pande tofauti za nje na ndani. Hizi ni Picha za mjengo huo....Jitiririshe hapa chini ujionee Ikulu hiyo ya Wasafi iliyopo maeneo ya Tageta







 

10 years ago

Mwananchi

Anthony Komu: Dk Chami ameshindwa kazi Moshi Vijijini

Anthony Calist Komu ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Moshi Vijijini kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa tiketi ya Chadema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani