HAPA NDIYO NYUMBANI PA WASAFI
![](http://lh6.ggpht.com/-gi7PMWnHsSw/VQ6tvtYhoGI/AAAAAAAAtGA/oV9e2BQyjPU/s72-c/Insta-image-41.jpg)
Diamond Platnumz Leo kupitia Instagram amekuwa akipost Picha za Mjengo wake katika pande tofauti za nje na ndani. Hizi ni Picha za mjengo huo....Jitiririshe hapa chini ujionee Ikulu hiyo ya Wasafi iliyopo maeneo ya Tageta
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHAPA NDIYO ALIVYOJIWEKA LINAH FULL MALAVIDAVE
"Slow down! Y must u rush? don't rush into something u r not ready for. Be patient, at the right time u will achieve it.Don't follow wat others are doin , don't let others pressure u and never let false words deceive u. YOUR ending is greater......" Linah
9 years ago
Mwananchi30 Aug
MWANAMKE: Ujasiri katika uamuzi ndiyo umenifikisha hapa
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Tunao kina Hayatou wengi hapa nyumbani
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Hii ndiyo rekodi waliyojiwekea Bayern Munich katika uwanja wao wa nyumbani Allianz Arena kwa msimu wa 2015/2016
Kikosi cha Bayern Munich.
Nembo ya Bayern Munich.
Na Rabi Hume
Klabu ya Bayern Munich inayoshiriki ligi kuu ya nchini Ujerumani (Bundesliga) msimu wa 2015 imeanza msimu huu kitofauti kutokana na kasi walionayo katika michezo ya Bundesliga na Ligi ya Mabingwa barani Ulaya jambo limelofanya timu hiyo kuvunja rekodi ya kushinda mechi nyingi mfululizo na kuwe na wastani mzuri wa magoli wawapo nyumbani.
Tangu kuanza kwa msimu huu Bayern Munich wamejiwekea rekodi ya kuwa na wastani mkubwa wa...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Huyu hapa ndiyo Zinedine Zidane mpya kwa mujibu wa Kocha wa Barcelona, Luis Enrique
Kiungo chipukizi wa Barcelona, Sergi Roberto.
Na Rabi Hume
Kocha wa klabu ya Barcelona, Mhispania Luis Enrique amemtaja kiungo anayechupukia katika kikosi chake Sergi Roberto,23 kama Zinedine Zidane mpya kutokana na aina ya uchezaji wake.
Enrique amesema hayo baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi kuu ya Hispania maarufu kama Primera Division uliyoikutanisha timu yake ya Barcelona na klabu ya Getafe na Barcelona kuibuka na ushindi wa goli 2 kwa bila, magoli yakifungwa na Luis Suarez na...
10 years ago
Bongo Movies03 Aug
Hapa na Pale: Hii ndiyo Mistari ya Nuh Mziwanda Alipokuwa Anamtongoza Wema Sepetu, Utavunja Mbavu
Kwa jinsi teknolojia ilivyokua watu wanapaswa kuwa makini sana kwa simu wanazopiga na maneno wanayoongea
Nuh Mziwanda amejikuta akiumbuka vibaya baada ya Wema Sepetu kuvujisha sauti anayosikika akimtongoza mrembo huyo. Mazungumzo hayo yanachekesha sana hasa kutokana na mistari anayompa Miss Tanzania huyo wa zamani. Haya ni maongezi yaliyofanyika mwezi June (siku moja kabla ya KTMA 2015). Tunafahamu wapo wasioweza kusikiliza clip yote hivyo tumekuandikia mazungumzo hayo.
Nuh Mziwanda: Kuna...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o9PAxZrVYQI/VCsUzssNrJI/AAAAAAAADio/MzbybWas_KE/s72-c/60758_515631655146090_1232687406_n.png)
UNAMJUA ZARI AU UNAMSIKIA JITIRIRISHE NA HIZI PICHA HAPA CHINI NDIYO UJIPE MAJIBU YA MASWALI YAKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-o9PAxZrVYQI/VCsUzssNrJI/AAAAAAAADio/MzbybWas_KE/s640/60758_515631655146090_1232687406_n.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IDDuU2L9g18/UDseXokgyCI/AAAAAAAAANU/LTkbWZugWrQ/s640/420848_3363402608828_1736075591_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hEpEuEJSdRw/UDseSxYj4II/AAAAAAAAAM0/oqPFAmiuX1g/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RlafHk3EIkA/UVyyd8UrLsI/AAAAAAAB2Ok/m7IIlCldIYg/s640/303195_2401443600454_1793078_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R01ara_QRvg/UVyzYdngpOI/AAAAAAAB2PA/zmGPOLAU2jM/s640/247938_10150204645455959_7451365_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xj1UxugUKrw/UVyyhGod1WI/AAAAAAAB2O0/abinRtTJFME/s640/318498_2401554403224_3236574_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-63LazdpwArw/UVykl6ZxAII/AAAAAAAB2Lo/FSS1jdjJYGo/s640/525398_510288279013761_146712445_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9U6yDpi0PO8/UVyksZietYI/AAAAAAAB2NY/D2kxJ_1aSeE/s640/644411_534370386605550_1296765906_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXVv0XYznQI/UVykmC8USWI/AAAAAAAB2Ls/XzCe0pxLs7g/s640/526845_534745149901407_971950015_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p2e44wK4nlw/UVykn3z7njI/AAAAAAAB2Mc/uzlg2A2yyjc/s640/557606_512335662142356_977095960_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gzjr3du0w34/UVyklWGcpUI/AAAAAAAB2Lc/0V4W_z_9t3k/s640/482750_528801053829150_1742203098_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fiF95zRvWuM/UVykrYSuMcI/AAAAAAAB2NE/6OhrYDVpoGw/s640/603126_506241162751806_334594371_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iz7QvU-6Ze8/UVykphpegKI/AAAAAAAB2Ms/pvEGM3Q0huo/s640/560215_510708435638412_405504285_n.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F6w5oaVJZyU/UVykh-9j2GI/AAAAAAAB2Ko/JLSEVPEDECA/s640/11338_513252468717342_1076049793_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--D1S-p8w1Pg/UVyknJMQTZI/AAAAAAAB2MA/63MhConBhNo/s640/541579_513194475389808_1209845986_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-e0e08kcQoow/UVykoMTIfZI/AAAAAAAB2Mg/BCIVHOWGfyI/s640/5593_534105353298720_753158979_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s72-c/bub.jpg)
Je kwa nini wanawake huwa na furaha zaidi wakati wa kufunga ndoa? Hizi hapa chini ndiyo sababu
![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s640/bub.jpg)
Wakatiwa kufunga ndoa wanawake wengi huonyesha furaha zao kwa namna tofauti. Wako ambao kutokana na furaha ya kuolewa wanashindwa kujizuia na kuanza kulia siyo kwa huzuni bali kwa furaha iliyopitiliza, wengine honyesha furaha zao kwa kucheza mziki kwa furaha na kumbusu mume wake wa maisha kwa mfululizo kama vile anachezea mdoli akiwa haamini kile kinachomtokea nk.Kwa upande wa mume naye huwa na furaha kwa upande wake lakini furaha hiyo haizidi furaha ya mke, hiyo ni kwa sababu mwanaume...
10 years ago
Vijimambo28 Mar
HIZI HAPA NDIYO NYATU NYATU ZA RUBANI WA NDEGE ILIYOANGUKA HUKO UJERUMANI
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/27/16/270CB06B00000578-3013743-image-m-93_1427474117272.jpg)
Rubani alikuwa na matatizo ya akili
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/27/150327101217_computer_640x360_getty_nocredit.jpg)
Viongozi wa mashtaka nchini Ujerumani wanasema kuwa wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya ALPS na kuwaua abiria 150 alikuwa amemficha mwajiri wake kuhusu ugonjwa anaougua.
Maafisa hao pia wamesema kuwa walipata kijikaratasi cha ugonjwa kilichokuwa kimekatwa ambacho kilimtaka rubani huyo kupumzika siku ya kuanguka kwa ndege hiyo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/27/150327100302_lubitz_parents_house_640x360_ap_nocredit.jpg)
Hatahivyo hawakupata ujumbe wowote...