HIZI HAPA NDIYO NYATU NYATU ZA RUBANI WA NDEGE ILIYOANGUKA HUKO UJERUMANI
Rubani alikuwa na matatizo ya akiliAjali ya ndege
Viongozi wa mashtaka nchini Ujerumani wanasema kuwa wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya ALPS na kuwaua abiria 150 alikuwa amemficha mwajiri wake kuhusu ugonjwa anaougua.
Maafisa hao pia wamesema kuwa walipata kijikaratasi cha ugonjwa kilichokuwa kimekatwa ambacho kilimtaka rubani huyo kupumzika siku ya kuanguka kwa ndege hiyo.Maafisa wa Polisi wa ujerumani
Hatahivyo hawakupata ujumbe wowote...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vnYfGA_kUPQ/VReDrZrNuEI/AAAAAAADd6Y/FaaALmSR6Xg/s72-c/le%2Bmorne.jpg)
NYATU NYATU MENGI NA MKE WAKE KY_LYNN WAMEFUNGA HARUSI KWENYE KISIWA HIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vnYfGA_kUPQ/VReDrZrNuEI/AAAAAAADd6Y/FaaALmSR6Xg/s1600/le%2Bmorne.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OE1BQAA9L-I/VReDrDCNr_I/AAAAAAADd6Q/LnT1lgIANzA/s1600/mengi.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Tazama ndege hizi zisizo na rubani zinavyosaidia uzazi salama Sierra Leone
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o9PAxZrVYQI/VCsUzssNrJI/AAAAAAAADio/MzbybWas_KE/s72-c/60758_515631655146090_1232687406_n.png)
UNAMJUA ZARI AU UNAMSIKIA JITIRIRISHE NA HIZI PICHA HAPA CHINI NDIYO UJIPE MAJIBU YA MASWALI YAKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-o9PAxZrVYQI/VCsUzssNrJI/AAAAAAAADio/MzbybWas_KE/s640/60758_515631655146090_1232687406_n.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IDDuU2L9g18/UDseXokgyCI/AAAAAAAAANU/LTkbWZugWrQ/s640/420848_3363402608828_1736075591_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hEpEuEJSdRw/UDseSxYj4II/AAAAAAAAAM0/oqPFAmiuX1g/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RlafHk3EIkA/UVyyd8UrLsI/AAAAAAAB2Ok/m7IIlCldIYg/s640/303195_2401443600454_1793078_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R01ara_QRvg/UVyzYdngpOI/AAAAAAAB2PA/zmGPOLAU2jM/s640/247938_10150204645455959_7451365_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xj1UxugUKrw/UVyyhGod1WI/AAAAAAAB2O0/abinRtTJFME/s640/318498_2401554403224_3236574_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-63LazdpwArw/UVykl6ZxAII/AAAAAAAB2Lo/FSS1jdjJYGo/s640/525398_510288279013761_146712445_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9U6yDpi0PO8/UVyksZietYI/AAAAAAAB2NY/D2kxJ_1aSeE/s640/644411_534370386605550_1296765906_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXVv0XYznQI/UVykmC8USWI/AAAAAAAB2Ls/XzCe0pxLs7g/s640/526845_534745149901407_971950015_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p2e44wK4nlw/UVykn3z7njI/AAAAAAAB2Mc/uzlg2A2yyjc/s640/557606_512335662142356_977095960_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gzjr3du0w34/UVyklWGcpUI/AAAAAAAB2Lc/0V4W_z_9t3k/s640/482750_528801053829150_1742203098_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fiF95zRvWuM/UVykrYSuMcI/AAAAAAAB2NE/6OhrYDVpoGw/s640/603126_506241162751806_334594371_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iz7QvU-6Ze8/UVykphpegKI/AAAAAAAB2Ms/pvEGM3Q0huo/s640/560215_510708435638412_405504285_n.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F6w5oaVJZyU/UVykh-9j2GI/AAAAAAAB2Ko/JLSEVPEDECA/s640/11338_513252468717342_1076049793_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--D1S-p8w1Pg/UVyknJMQTZI/AAAAAAAB2MA/63MhConBhNo/s640/541579_513194475389808_1209845986_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-e0e08kcQoow/UVykoMTIfZI/AAAAAAAB2Mg/BCIVHOWGfyI/s640/5593_534105353298720_753158979_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s72-c/bub.jpg)
Je kwa nini wanawake huwa na furaha zaidi wakati wa kufunga ndoa? Hizi hapa chini ndiyo sababu
![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s640/bub.jpg)
Wakatiwa kufunga ndoa wanawake wengi huonyesha furaha zao kwa namna tofauti. Wako ambao kutokana na furaha ya kuolewa wanashindwa kujizuia na kuanza kulia siyo kwa huzuni bali kwa furaha iliyopitiliza, wengine honyesha furaha zao kwa kucheza mziki kwa furaha na kumbusu mume wake wa maisha kwa mfululizo kama vile anachezea mdoli akiwa haamini kile kinachomtokea nk.Kwa upande wa mume naye huwa na furaha kwa upande wake lakini furaha hiyo haizidi furaha ya mke, hiyo ni kwa sababu mwanaume...
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Urusi:Ndege iliyoanguka Misri ilivunjikia angani
5 years ago
BBCSwahili23 May
Manusura wa ndege ya Pakistan iliyoanguka amesema alichokiona ni 'moto tu'
11 years ago
CloudsFM18 Jul
TAARIFA MPYA JUU YA NDEGE NYINGINE YA MALAYSIA ILIYOANGUKA UKRAINE.
Ndege ya Malaysia iliyokuwa imebeba abiria 295 ndani yake imeanguka Mashariki mwa Ukraine ikitokea Amsterdam kwenda Kuala Lumpur, kufuatia tuhuma kuwa ilitunguliwa.
Miili kadhaa ya watu imesambaa katika eneo ilipoanguka ndege hiyo karibu na kijiji cha Grabovo, kinachodaiwa kushikiliwa na waasi.Ndege hiyo ya MH17 ilikuwa inakaribia kuingia katika ardhi ya Urusi wakati ilipopoteza mawasiliano.
Pande zote mbili serikali ya Ukraine na waasi wamekanusha kuitungua ndege hiyo katika mji ulio karibu...