Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYATU NYATU MENGI NA MKE WAKE KY_LYNN WAMEFUNGA HARUSI KWENYE KISIWA HIKI

Hiki ni kisiwa cha Mauritius moja ya visiwa vinavyovutia dunia ndipo chaguo la Bwana Mengi kwa ajili ya harusi yake na Beautiful Onyenyi wake Ky_Lynn pamoja na watoto wao mapacha wawili. Wapo watu walipata nafasi ya kuhudhuria harusi hii ukiachia watoto aliozaa na bi mkubwa ndiyo hawakuweza kupa mwaliko wa kuwepo kwenye harusi hii, hizo ni nyatu nyatu za mjini inasemekana harusi hiyo imefanyika jumamosi ya tarehe 28 ndani ya viunga ya kisiwa hiki huko Mauritius.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HIZI HAPA NDIYO NYATU NYATU ZA RUBANI WA NDEGE ILIYOANGUKA HUKO UJERUMANI




Rubani alikuwa na matatizo ya akili
Ajali ya ndege
Viongozi wa mashtaka nchini Ujerumani wanasema kuwa wamepata ushahidi unaosema kwamba rubani wa ndege ya Ujerumani ilioanguka katika milima ya ALPS na kuwaua abiria 150 alikuwa amemficha mwajiri wake kuhusu ugonjwa anaougua.
Maafisa hao pia wamesema kuwa walipata kijikaratasi cha ugonjwa kilichokuwa kimekatwa ambacho kilimtaka rubani huyo kupumzika siku ya kuanguka kwa ndege hiyo.Maafisa wa Polisi wa ujerumani
Hatahivyo hawakupata ujumbe wowote...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI

She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram 

 

10 years ago

Vijimambo

BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO

Bi harusi mmoja kaskazini mwa nchi ya India alifanya maamuzi ya papo kwa hapo kuolewa na mmoja wa wageni waliofika kushereheka naye katika harusi yake baada ya mumewe kuugua ghafla.Mwanamke huyo ajulikanaye kama Indra anayetokea Rampur jimbo la Uttar Pradesh, inaelezwa kuwa sekunde chache kabla ya ndoa ya wawili hao mume akaanguka kifafa, na hivyo kumlazimu kuondoka harusini na kwenda kumwona daktari.Bi harusi Indra, alishikwa na hasira ya hali ya juu, kwakuwa mume alimficha juu ya hali...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste kumtumia mke wake kwenye video zake zote zinazokuja

Rapper Mabeste amesema baada ya mke wake Lisa kufanya vizuri katika video ya wimbo wake ‘Usiwe Bubu’ ameona haina sababu ya kumtafuta mtu mwingine katika kazi zake zote zinazokuja. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha EATV, Mabeste alisema hata ikitokea scene ya ujambazi bado itachezwa na mke wake. “Hakuna video itakayotoka bila mke wangu […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo ampa wakala wake zawadi ya kisiwa

Bilionea wa kilabu ya Real Madrid nyota Cristiano Ronaldo amempa wakala wake Jorge Mendes kisiwa kimoja cha Ugiriki kama zawadi yake ya harusi kulingana na vyombo vya habari.

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA


KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)

Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...

 

10 years ago

Vijimambo

WENGI WASHIRIKI KWENYE MASHIZI YA MKE WA JOHN KITIME KWENYE MAKABURI YA KINONDONI,JIJINI DAR LEO

 Umati wa waombolezaji ulioshiriki kwenye mazishi ya Mke wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Bw. John Kitime,Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime alizikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam.Taratibu za mazishi zikiendelea kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam leo. Mume wa  Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime,Bw. John Kitime akitoka kuweka shada la maua kwenye kaburi la mkewe wakati wa mazishi yaliyofanyika jioni hii kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baba anapoingia mitini na michango ya harusi ya kijana wake!

KATIKA hali ya kawaida wazazi wa kijana au binti anayetarajia kuoa au kuolewa wao ndio wanaokuwa mstari wa mbele wa kuhakikisha mtoto wao anafanikiwa vema katika maandalizi ya harusi mtoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani