Hii ndiyo rekodi waliyojiwekea Bayern Munich katika uwanja wao wa nyumbani Allianz Arena kwa msimu wa 2015/2016
Kikosi cha Bayern Munich.
Nembo ya Bayern Munich.
Na Rabi Hume
Klabu ya Bayern Munich inayoshiriki ligi kuu ya nchini Ujerumani (Bundesliga) msimu wa 2015 imeanza msimu huu kitofauti kutokana na kasi walionayo katika michezo ya Bundesliga na Ligi ya Mabingwa barani Ulaya jambo limelofanya timu hiyo kuvunja rekodi ya kushinda mechi nyingi mfululizo na kuwe na wastani mzuri wa magoli wawapo nyumbani.
Tangu kuanza kwa msimu huu Bayern Munich wamejiwekea rekodi ya kuwa na wastani mkubwa wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.
Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.
Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;
Golikipa
Jack Butland -Stoke...
5 years ago
Africanjam.Com![](https://2.bp.blogspot.com/-G_BrOZ_0fEE/V9jfUTfVKGI/AAAAAAAAAC0/ezfBPi6r4mAkV9ZYfFqRZgzufltXSKruwCLcB/s72-c/africanjam2.jpg)
BAYERN MUNICH 5 - 0 FC ROSTOV | All Goals and Highlights 13.09.2016 | UEFA Champions League |
![](https://2.bp.blogspot.com/-G_BrOZ_0fEE/V9jfUTfVKGI/AAAAAAAAAC0/ezfBPi6r4mAkV9ZYfFqRZgzufltXSKruwCLcB/s400/africanjam2.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Hii ndio Laptop iliyovunja rekodi kwa 2016, nyembamba ila yenye ubora wake.. (+Video)
Kampuni ya CES ndio watengenezaji wa laptop za Lenovo kutoka China ambapo mwaka 2016 wanakuja kuiandika rekodi mpyampya Duniani. Lenovo wanakuja na aina nyingine ya Laptop kwa mwaka huu 2016, mzigo ni Lenovo Yoga 900 ambapo hii itakuwa ndio laptop nyepesi zaidi Duniani, ina upana wa nusu inch tu upana ambao wanaufananisha na ule wa simu […]
The post Hii ndio Laptop iliyovunja rekodi kwa 2016, nyembamba ila yenye ubora wake.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiLHwTqLwoo4YulJSUos-l3wqLvPfkiQKT8GqHuXT50IdaVeU3z-SjzDwhbqraM6e56iIvZIvDB-V9DRbvfjS0m*/BAYERNVSBARCA.jpg?width=650)
BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Hii ndiyo orodha ya wachezaji 40 ambao wanawania kuwepo katika kikosi cha Ulaya 2015
MAKIPA
Joe Hart (Man City)
Gianluigi Buffon (Juventus)
Manuel Neuer (Bayern)
Denys Bokyo (Dnipro)
MABEKI
David Alaba (Bayern)
Jerome Boateng (Bayern)
Dani Alves (Barcelona)
Javier Mascherano (Barcelona)
Gerard Pique (Barcelona)
Giorgio Chiellini (Juventus)
Leonardo Bonucci (Juventus)
David Luiz (PSG)
Thiago Silva (PSG)
Diego Godin (Atletico Madrid)
Sergio Ramos (Real Madrid)
Ricardo Rodriguez (Wolfsburg)
VIUNGO
James Rodrigues (Real Madrid)
Paul Pogba (Juventus)
Claudio Marchisio(Juventus)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zZnrIWJTAG4/U2ZrgTWIgAI/AAAAAAAFfVk/7GCSzriLp0Y/s72-c/TFF+Logo.jpg)
TIMU 16 KUSHIRIKI LIGI KUU MSIMU WA 2015/2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-zZnrIWJTAG4/U2ZrgTWIgAI/AAAAAAAFfVk/7GCSzriLp0Y/s1600/TFF+Logo.jpg)
Mabadiliko hayo yamepitishwa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Mei 3 mwaka huu) jijini Dar es Salaam baada ya kupokea mapendekezo ya kuongeza idadi ya timu kutoka kwenye Kamati ya Mashindano.
Uamuzi huo umefanywa kwa lengo la kuongeza ushindani katika ligi hiyo, na kuwezesha wachezaji kupata mechi nyingi zaidi za mashindano. Kwa mabadiliko...