Hii ndio Laptop iliyovunja rekodi kwa 2016, nyembamba ila yenye ubora wake.. (+Video)
Kampuni ya CES ndio watengenezaji wa laptop za Lenovo kutoka China ambapo mwaka 2016 wanakuja kuiandika rekodi mpyampya Duniani. Lenovo wanakuja na aina nyingine ya Laptop kwa mwaka huu 2016, mzigo ni Lenovo Yoga 900 ambapo hii itakuwa ndio laptop nyepesi zaidi Duniani, ina upana wa nusu inch tu upana ambao wanaufananisha na ule wa simu […]
The post Hii ndio Laptop iliyovunja rekodi kwa 2016, nyembamba ila yenye ubora wake.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake …
Usiku wa December 24 ulikuwa ni usiku ambao zilizagaa au kuvuja habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kutajwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Stori zilianza kama tetesi na baadae mmoja kati ya mitandao […]
The post Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal ….
Kila mpenda soka anasubiria kuona mwaka 2015 utamalizikaje kwa kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal kuendelea kuwa Man United, Kwani Van Gaal kwa sasa anahusishwa kufukuzwa kazi wakati wowote. Mengi yanachochea uvumi huo kuwa upo karibu kutimia, ukizingatia mtendaji mkuu wa Man United yupo kimya kwa muda mrefu bila kutoa kauli yoyote. Wazungu […]
The post Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal …. appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Hii ndiyo rekodi waliyojiwekea Bayern Munich katika uwanja wao wa nyumbani Allianz Arena kwa msimu wa 2015/2016
Kikosi cha Bayern Munich.
Nembo ya Bayern Munich.
Na Rabi Hume
Klabu ya Bayern Munich inayoshiriki ligi kuu ya nchini Ujerumani (Bundesliga) msimu wa 2015 imeanza msimu huu kitofauti kutokana na kasi walionayo katika michezo ya Bundesliga na Ligi ya Mabingwa barani Ulaya jambo limelofanya timu hiyo kuvunja rekodi ya kushinda mechi nyingi mfululizo na kuwe na wastani mzuri wa magoli wawapo nyumbani.
Tangu kuanza kwa msimu huu Bayern Munich wamejiwekea rekodi ya kuwa na wastani mkubwa wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wQBo6DQkfVg/VPcSdzH5RRI/AAAAAAAAuEk/Cbz_SUiqFII/s72-c/Nasib.jpg)
HII NDIO VIDEO MPYA KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ AFANYA NA HANSCANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-wQBo6DQkfVg/VPcSdzH5RRI/AAAAAAAAuEk/Cbz_SUiqFII/s640/Nasib.jpg)
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5
Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]
The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Hii ndio list ya magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015, Cheki video hapa …
Mtu wangu wa nguvu hongera na kheri ya mwaka mpya, licha ya kuanza kwa mwaka 2016 ila mwaka 2015 ulikuwa na mambo mengi ya kukumbukwa katika kila kitu. ila mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 10 ya magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015. Stori kutoka 101greatgoals.com hii ndio list ya magoli yenye mvuto na […]
The post Hii ndio list ya magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015, Cheki video hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]
The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
JAPAN YAVUNJA REKODI KWA KUWA NA TRENI YENYE MWENDO KASI ZAIDI DUNIANI