Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake …
Usiku wa December 24 ulikuwa ni usiku ambao zilizagaa au kuvuja habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kutajwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Stori zilianza kama tetesi na baadae mmoja kati ya mitandao […]
The post Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Hii ndio Laptop iliyovunja rekodi kwa 2016, nyembamba ila yenye ubora wake.. (+Video)
Kampuni ya CES ndio watengenezaji wa laptop za Lenovo kutoka China ambapo mwaka 2016 wanakuja kuiandika rekodi mpyampya Duniani. Lenovo wanakuja na aina nyingine ya Laptop kwa mwaka huu 2016, mzigo ni Lenovo Yoga 900 ambapo hii itakuwa ndio laptop nyepesi zaidi Duniani, ina upana wa nusu inch tu upana ambao wanaufananisha na ule wa simu […]
The post Hii ndio Laptop iliyovunja rekodi kwa 2016, nyembamba ila yenye ubora wake.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]
The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio)
Baada ya taarifa kusambaa kuwa Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye ameatangaza kukamatwa kwa watu wanaovaa nguo fupi na zile za kubana mwili wakamatwe, sasa haya ndio maelezo kamili unapaswa kuyafahamu. Bonyeza Play hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ […]
The post Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Hii ndio kauli ya Thomas Muller ambayo ni pigo kwa klabu ya Man United ya Uingereza …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ujerumani anayekipiga katika klabu ya FC Bayern Munich ya kwao Ujerumani Thomas Muller, December 18 ameingia katika headlines baada ya kuamua maamuzi tofauti ila ni pigo kwa klabu ya Man United. Muller ambaye ana mudu kucheza nafasi ya winga, mshambuliaji pamoja na kiungo ameamua kuongeza mkataba na FC Bayern, maamuzi ambayo […]
The post Hii ndio kauli ya Thomas Muller ambayo ni pigo kwa klabu ya Man United ya Uingereza … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United …
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani kwa sasa Javier Hernandez Chicharito amefunguka kwa nini aliamua kuondoka Man United. Chicharito ambaye aliondoka Man United mwaka 2015 baada ya kucheza kwa mkopo wa muda mfupi ndani ya klabu ya Real Madrid. Kwa mara ya kwanza Chicharito ndio anatajwa sababu […]
The post Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United … appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE
Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...