Anthony Komu: Dk Chami ameshindwa kazi Moshi Vijijini
Anthony Calist Komu ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa jimbo la Moshi Vijijini kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 kwa tiketi ya Chadema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-50awND_mcP4/VRKpf4W5LLI/AAAAAAAACCc/FnKsr8cficc/s72-c/Chami.jpg)
CCM imeleta maendeleo Moshi Vijijini- Chami
MBUNGE wa Moshi Vijijini, Cyril Chami, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeleta maendeleo makubwa katika jimbo hilo tangu kiliposhika madaraka. Chami alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mikocheni, katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-50awND_mcP4/VRKpf4W5LLI/AAAAAAAACCc/FnKsr8cficc/s1600/Chami.jpg)
Chami alisema katika kipindi hicho chote, hakuna maendeleo yaliyopatikana, jambo ambalo linaoonyesha kuwa...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Mbatia atwaa Vunjo, Komu mshindi Moshi Vijijini
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Gv5QHcH6_pc/VffMWveV3TI/AAAAAAAAU8o/d0-RArJpL3A/s72-c/DSCF0129%2B%25281280x960%2529.jpg)
MBATIA,SELASINI NA KOMU WAPELEKA MABADILIKO JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gv5QHcH6_pc/VffMWveV3TI/AAAAAAAAU8o/d0-RArJpL3A/s640/DSCF0129%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T8-1Mi3oqSw/VffMOlr-34I/AAAAAAAAU8g/26enpiSxQ_k/s640/DSCF0125%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rzx17RtIuHM/VffLgwouJYI/AAAAAAAAU7Y/rJkCX81022M/s640/DSCF0103%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SjGQEgngi44/VffLg_JNLpI/AAAAAAAAU7c/aA6WkllIej0/s640/DSCF0104%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jIlwpvzu9Tw/VffLgO52rZI/AAAAAAAAU7Q/dEloFAWDIYM/s640/DSCF0105%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qLQr-3JFwIg/VffLn0qFLzI/AAAAAAAAU7o/neWX6NxKrJs/s640/DSCF0106%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTaxtCeJ8Ek/VffLtRBTUiI/AAAAAAAAU7w/pSBk8LKxyPw/s640/DSCF0107%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LNm_JsQX3hE/VffLwSdE-nI/AAAAAAAAU74/PUyLxr1Cuc4/s640/DSCF0113%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gbkLgCxf0iw/VffL2yvrLJI/AAAAAAAAU8A/wemBYtJ1Yi4/s640/DSCF0115%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-r8LYiQkTb1c/VffL7iAvQeI/AAAAAAAAU8I/WH1BX7KtC6Y/s640/DSCF0118%2B%25281280x960%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/eEFhbilUQK4/default.jpg)
DK CYRIL CHAMI KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PrOUOtNiJRE/U9YbGb325MI/AAAAAAAF7UM/UeusCUuxegg/s72-c/Cyril-Chami.jpg)
MBUNGEWA MOSHI VIJIJINI DKT CYRIL CHAMI ASIKITISHWA NA TAARIFA ZA KIZUSHI ZINAZOSAMBAZWA KWA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI JUU YAKE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-PrOUOtNiJRE/U9YbGb325MI/AAAAAAAF7UM/UeusCUuxegg/s1600/Cyril-Chami.jpg)
Mimi sina mfanyakazi wa jina hilo la Mariamu. Wala sina mfanyakazi mwenye umri wa miaka 16. Hatuna tatizo lolote la mfanyakazi yeyote kupigwa, achilia mbali kuuawa. Lakini taarifa hizo ambazo ni za uongo mtupu zimewashtua wengi kwa sababu...
9 years ago
Daily News23 Aug
Chadema now picks Komu for Moshi Rural seat
Daily News
THE Central Committee (CC) of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has picked Mr Anthony Komu to vie for the Moshi Rural Constituency, under the ticket of Coalition of Four opposition Parties (Ukawa). Speaking here yesterday, Chadema's ...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Waethiopia 47 wanaswa Moshi Vijijini
USIKU wa kuamkia jana ulikuwa mbaya kwa wahamiaji haramu 47 raia wa Ethiopia ambao walijikuta wakitiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kunaswa na askari wa idara ya uhamiaji na mgambo wa vijiji vya Gona na Kuturi, kwa kosa ya kuingia nchini kinyume na taratibu.
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mbunge Moshi Vijijini awapiga jeki wapiga kura
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Dk Cyril Chami, ametoa jumla ya Shilingi milioni nne kwa kikundi cha Wanawake wa Kanisa la Katoliki la Kindi (WAWATA) kuwawezesha kwenye mradi wa mashine za kusaga na kukoboa mahindi.
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Mashindano ya Lucy Owenya Cup yazinduliwa jimbo la Moshi vijijini
Mbunge wa viti Maalumu mkoa wa Kilimanjaro, Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha kata 16 za jimbo hilo.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Mbunge Owenya akicheza ngoma katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup.
Baadhi ya timu zinazoshiriki mashindano hayo zikiwa...