Waethiopia 47 wanaswa Moshi Vijijini
USIKU wa kuamkia jana ulikuwa mbaya kwa wahamiaji haramu 47 raia wa Ethiopia ambao walijikuta wakitiwa mbaroni na jeshi la polisi baada ya kunaswa na askari wa idara ya uhamiaji na mgambo wa vijiji vya Gona na Kuturi, kwa kosa ya kuingia nchini kinyume na taratibu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Waethiopia 55 wanaswa kichakani Himo
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-50awND_mcP4/VRKpf4W5LLI/AAAAAAAACCc/FnKsr8cficc/s72-c/Chami.jpg)
CCM imeleta maendeleo Moshi Vijijini- Chami
MBUNGE wa Moshi Vijijini, Cyril Chami, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeleta maendeleo makubwa katika jimbo hilo tangu kiliposhika madaraka. Chami alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mikocheni, katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-50awND_mcP4/VRKpf4W5LLI/AAAAAAAACCc/FnKsr8cficc/s1600/Chami.jpg)
Chami alisema katika kipindi hicho chote, hakuna maendeleo yaliyopatikana, jambo ambalo linaoonyesha kuwa...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Anthony Komu: Dk Chami ameshindwa kazi Moshi Vijijini
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Mbatia atwaa Vunjo, Komu mshindi Moshi Vijijini
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mbunge Moshi Vijijini awapiga jeki wapiga kura
MBUNGE wa Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro Dk Cyril Chami, ametoa jumla ya Shilingi milioni nne kwa kikundi cha Wanawake wa Kanisa la Katoliki la Kindi (WAWATA) kuwawezesha kwenye mradi wa mashine za kusaga na kukoboa mahindi.
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Chadema Moshi vijijini warudisha fomu za kuwania ubunge na udiwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-AhQuRbaoNVE/VYzn-DRUxJI/AAAAAAAARh8/aMnjeGCniHM/s640/E86A1751%2B%25281280x853%2529%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ba96gVyVeG8/VYzn-J9THPI/AAAAAAAARiA/X-8rEW21U78/s640/E86A1752%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHeqXKF6ccw/VYzn-BcesXI/AAAAAAAARiI/9c10FZz56k0/s640/E86A1759%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8MHAlii93g/VYzoEA5ol9I/AAAAAAAARiU/4hUp1zoHy94/s640/E86A1762%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NzOqFtXfabw/VYzoFJCKcPI/AAAAAAAARig/Lc_XjsyzIIg/s640/E86A1764%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Gv5QHcH6_pc/VffMWveV3TI/AAAAAAAAU8o/d0-RArJpL3A/s72-c/DSCF0129%2B%25281280x960%2529.jpg)
MBATIA,SELASINI NA KOMU WAPELEKA MABADILIKO JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gv5QHcH6_pc/VffMWveV3TI/AAAAAAAAU8o/d0-RArJpL3A/s640/DSCF0129%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T8-1Mi3oqSw/VffMOlr-34I/AAAAAAAAU8g/26enpiSxQ_k/s640/DSCF0125%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rzx17RtIuHM/VffLgwouJYI/AAAAAAAAU7Y/rJkCX81022M/s640/DSCF0103%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SjGQEgngi44/VffLg_JNLpI/AAAAAAAAU7c/aA6WkllIej0/s640/DSCF0104%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jIlwpvzu9Tw/VffLgO52rZI/AAAAAAAAU7Q/dEloFAWDIYM/s640/DSCF0105%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qLQr-3JFwIg/VffLn0qFLzI/AAAAAAAAU7o/neWX6NxKrJs/s640/DSCF0106%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XTaxtCeJ8Ek/VffLtRBTUiI/AAAAAAAAU7w/pSBk8LKxyPw/s640/DSCF0107%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LNm_JsQX3hE/VffLwSdE-nI/AAAAAAAAU74/PUyLxr1Cuc4/s640/DSCF0113%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gbkLgCxf0iw/VffL2yvrLJI/AAAAAAAAU8A/wemBYtJ1Yi4/s640/DSCF0115%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-r8LYiQkTb1c/VffL7iAvQeI/AAAAAAAAU8I/WH1BX7KtC6Y/s640/DSCF0118%2B%25281280x960%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Mashindano ya Lucy Owenya Cup yazinduliwa jimbo la Moshi vijijini
Mbunge wa viti Maalumu mkoa wa Kilimanjaro, Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha kata 16 za jimbo hilo.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Mbunge Owenya akicheza ngoma katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup.
Baadhi ya timu zinazoshiriki mashindano hayo zikiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/eEFhbilUQK4/default.jpg)
DK CYRIL CHAMI KUPEPERUSHA BENDERA YA CCM JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10