Benjamin Griveaux: Video ya ngono yamfanya mshirika wa Macron kujiuzulu
Benjamin Griveaux ameshutumu video ya ngono dhidi yake iliyowekwa mtandaoni na msanii wa Urusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Nov
Ajali yamfanya Mr Nice aahirishe kufanya video yake South
10 years ago
Dewji Blog25 May
VIDEO: Nape akitangaza kujiuzulu kwa Mwigulu Nchemba
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (Itikadi na Uenezi), Nape Nnauye.
5 years ago
SchengenVisaInfo.Com12 Apr
Macron Warns EU External Borders May Remain Closed Until September Due to COVID-19
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j13fF3xjqD20BZGljThpLc2nGfDPv2ciEtXVZeL7VTwXLX9mDnDb8pyr*Lax8VbyaikPjiiJHVFjtZ4mPlF58SI/937.jpg?width=650)
KIM AREKODI TENA VIDEO YA NGONO
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Video za ngono za Jennifer Lopez kuwekwa hadharani
NEW YORK, MAREKANI
ALIYEWAHI kuwa mume wa msanii nyota nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘JLo’, Noa Ojani, amesema anatarajia kuachia video za ngono za mke wake huyo wa zamani.
Video hiyo ilichezwa na wapenzi hao wawili wakati walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi lakini ipo mikononi mwa mwanamume huyo ambaye waliachana miezi 11 tangu kufungwa kwa ndoa yao mwaka 1997.
Pia, Ojani amesema atatoa kopi nyingi za video hiyo ili iweze kusambaa kwa kuwa J. Lo ameshindwa kutimiza
makubaliano yao...
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Majaji 3 nje kwa kutizama video za ngono
9 years ago
Habarileo12 Nov
Mshirika wa Lowassa atuhumiwa siyo raia
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji nchini, wanafanya uchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili mwanaharakati na mshirika wa aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, Bashir Awale anayetuhumiwa kuwa Mkenya.
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
‘Ramadhani’ Yamfanya Nuh Mziwanda Kuondoka kwa Shilole
Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani umemfanya msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda kuondoka nyumbani kwa mpenzi ambaye ni msanii,Shilole ili kumpisha mpenzi wake afunge kwani hawajafunga ndoa.
Shilole ameyazungumza hayo wakati akizungumza na Clouds Fm,ratiba yake nzima ya mapishi kwenye mwezi Mtukufu na kusema kuwa mwezi huu wa Ramadhani ameacha kufanya vitu vyote vya starehe na ndiyo maana hata mpenzi wake Nuh ameondoka nyumbani kwake ili asiharibu funga yake.
‘’Nuh ameondoka nyumbani...
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Mshirika wa Waziri Muhongo anaswa na ripoti feki ya CAG
JESHI la Polisi mkoani hapa, linamshikilia mtu mmoja kwa madai ya kukutwa na ripoti ya kughushi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG). Ripoti hiyo ambayo ni matokeo...