Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yamfanya Mr Nice aahirishe kufanya video yake South

Mr Nice amesema amelazimika kuahirisha mpango wake wa kushoot video yake nchini Afrika Kusini kutokana na ajali aliyopata kumsababishia kukaa kitandani kwa zaidi ya miezi mitatu. Mr Nice amesema kabla ya siku ya ajali alikuwa yupo kwenye maandalizi ya kwenda nchini humo. “Ajali ndo imesababisha haya yote ila mimi naona hakijaharika kitu, wiki ijayo naanza […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake

Pamoja na kupita miaka sita tangu Chris Brown ashtakiwe kwa kosa la kumpiga Rihanna, bado kesi hiyo imeendelea kumgharimu muimbaji huyo wa ‘Loyal’ Chris amelazimika kuahirisha ziara yake ya muziki iliyopewa jina ‘Between The Sheets’ iliyokuwa ianze Jumanne hii ili kumalizia saa 100 zilizosalia kwenye adhabu aliyopewa ya kufanya kazi za kijamii kwa saa 1,000. […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Wizkid azungumzia collabo yake na Chris Brown ‘African Bad Girl’, pia kufanya video na Tyga

Japokuwa Wizkid alishathibitisha kupitia Twitter kuwa amefanya collabo na staa wa R&B Chris Brown wa Marekani, staa huyo wa Nigeria amezungumzia collabo hiyo alipofanya mahojiano na DJ Abrantee wa Capital Xtra ya Uingereza Jumamosi iliyopita. Wizkid ambae amekua na urafiki na Breezy toka walipokutana na kutumbuiza pamoja Nigeria na Ghana miaka miwili iliyopita, amesema hivi […]

 

11 years ago

GPL

MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK

Mr. Nice (kulia). Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Benjamin Griveaux: Video ya ngono yamfanya mshirika wa Macron kujiuzulu

Benjamin Griveaux ameshutumu video ya ngono dhidi yake iliyowekwa mtandaoni na msanii wa Urusi.

 

10 years ago

Bongo5

Mr Nice arudi kufanya kazi na producer wake aliyemtoa, Kameta

Baada ya kunusurika kifo mwezi April mwaka huu, Lucas Mkenda aka Mr Nice ameibuka na kuzungumzia mipango yake mipya ya kazi yake ya muziki ambayo ilisimama baada ya kupata ajali mbaya ya bajaj iliyomsababisha kukaa muda mrefu akisubiri kupona. Nice ambaye ni mwimbaji na mwanzilishi wa staili ya Takeu, amesema amefanya kazi mpya na producer […]

 

11 years ago

GPL

AJALI YA BASI LA KAMPUNI YA MANING NICE LILILOUA WAWILI LINDI

Wanausalama wakiwa eneo la ajali iliyotokea jana ikilihusisha basi la kampuni ya Maning Nice na bodaboda moja ambayo iligongwa na kuburuzwa pembeni eneo moja linaitwa Ngongo mita chache kutoka Lindi mjini.  Dereva wa pikipiki pamoja na mwenziye walipoteza maisha muda mfupi baada ya ajali huku basi likiwa halijaumia sana na abiria wote walitoka salama kasoro mama mmoja aliyepatwa na presha na kukimbizwa… ...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mike Tyson alivyo pata ajali kwenye hoverboard yake

MIKE-HOVER

Bondia wa zamani wa ngumi za uzito wa juu, Mike Tyson amezua gumzo baada ya kutuonesha video kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard basi we achana nazo baada ya yeye kupiga mweleka.

MIKE-HOVER

Mike Tyson aliipost video kwenye ukurasa wake Instagram ambapo palikuwa pembeni na sauti inasikika ya mtoto wa kike ikiwa inamuonya kwamba ataanguka, lakini Mike akaendelea zake.. sekunde chache mbele mambo yakaenda kwa kuanguka

Ilikuwa stori kubwa yenye uzito wake katika TV ya CNN waliiripoti hii angalia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani