AJALI YA BASI LA KAMPUNI YA MANING NICE LILILOUA WAWILI LINDI
![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iHtlPYOCGq9pGczszQvcqcPN13mIRxK19D1Jo3Fbt6iIClnr-bmU8VqwlNeNBJmFUka-jMxnvTR2p*joqvct74/1.jpg?width=650)
Wanausalama wakiwa eneo la ajali iliyotokea jana ikilihusisha basi la kampuni ya Maning Nice na bodaboda moja ambayo iligongwa na kuburuzwa pembeni eneo moja linaitwa Ngongo mita chache kutoka Lindi mjini.  Dereva wa pikipiki pamoja na mwenziye walipoteza maisha muda mfupi baada ya ajali huku basi likiwa halijaumia sana na abiria wote walitoka salama kasoro mama mmoja aliyepatwa na presha na kukimbizwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s72-c/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA SABA WAMEJERUHIWWA KATIKA AJALI YA BASI NA BODABODA MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s1600/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVX16ma6BpqjFDqhUvlstr2dbfkdYHTSaPkQDbtT119fZPQcfGBv6TSfoiGMSJmwgW-HbNHQtcE9KsvJOL2jkkWv/1ajaliyabasi1.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Wawili wafa, 40 wajeruhiwa ajali ya basi
WATU wawili akiwemo mtoto wa miezi sita wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, iliyolihusisha basi la Zuberi katika eneo la Tumaini Nkuhi kwenye barabara kuu ya Singida - Dodoma.
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-e2qpLWaTwM0/U0f_rJzOqDI/AAAAAAAAMWw/c76x3ZLZIEk/s1600/IMG-20140411-WA0004.jpg?width=640)
AJALI YA BASI YAUA WAWILI LUGOBA
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wawili wapoteza maisha na 52 wajeruhiwa ajali ya basi Singida
Askari wa usalama barabarani wilaya ya Ikungi, akikagua basi la kampuni ya KISBO, T.534 CHX baada ya kupinduka katika eneo la kijiji cha Kambi ya mkaa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 52.
Na Nathaniel Limu, Singida
ABIRIA wawili wamefariki dunia na wengine 52 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele kulia na kuacha barabara na kisha kupinduka.
Basi lililohusika na ajali hiyo ni T.534 CHX aina ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qk*MmDQsK7pf2AeHwPjAF2REkF6HY-kBkfN5MY85f9E9yquPDoKmdoBU244VY8KHRHBzjM0MrCpATv6ccR*srBRp34qmr-nR/1428826223737.jpg?width=650)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA LORI RUAHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyQz9jblIHrjUSLYhs6RsW42uFYyjHXAzgn2K-TaX9CxKCGp3O6kUTWIp7fBt6DMDhI1Y7IPLcBtBBK1E6pKKmj6/ajali1.jpg?width=650)
WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI
10 years ago
Habarileo21 Dec
Ajali yaua wafanyakazi wawili wa kampuni ya Kichina
WATU wawili wamekufa baada gari waliyokuwa wakisafiria aina ya kenta T 564 BYW kupinduka. Gari hilo lilikuwa limebeba wafanyakazi 27 wa kampuni ya wachina Project inayotengeneza barabara ya Kigwa hadi Nyahuwa mkoani Tabora.