MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK
Mr. Nice (kulia). Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Oct
Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood
10 years ago
Bongo513 Oct
Peter Okoye (P-Square) apata shavu la ubalozi wa Olympic Milk
10 years ago
GPLMPENZI WA D’BANJ APATA SHAVU KUTOKA KWA RAIS
11 years ago
GPLMASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU
10 years ago
Bongo518 Dec
Muigizaji wa Bollywood, Priyanka Chopra apata shavu la kuigiza Marekani, runinga ya ABC yamsaini
10 years ago
CloudsFM27 Nov
DIAMOND APATA SHAVU ‘SAUZ’LA KUGAWA TUZO ZA CHANNEL O, NA KUSHIRIKI KWENYE KAMPENI YA EBOLA
Wiki iliyopita staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz aliachia ngoma yake mpya ‘’Nitampata Wapi’’ ‘audio’ na ‘video’, na mapokeo yake kwa mashabiki kuwa makubwa sana kwani mpaka leo kwenye mtandao wa ‘You Tube’ video hiyo imetazamwa zaidi ya mara 558,276.
Safari hii Diamond amepta shavu nchini South Afrika, asubuhi ya leo aliingia ndani ya jumba la Big Brother na kuzungumza na washiriki wa shindano hilo. Pia kuna ngoma atarekodi huko na pia licha ya kutajwa kwenye tuzo za Channel O Music Video...
10 years ago
Bongo512 Nov
Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii
10 years ago
Bongo517 Nov
Ajali yamfanya Mr Nice aahirishe kufanya video yake South
10 years ago
Bongo503 Sep
Mr Nice arudi kufanya kazi na producer wake aliyemtoa, Kameta