DIAMOND APATA SHAVU ‘SAUZ’LA KUGAWA TUZO ZA CHANNEL O, NA KUSHIRIKI KWENYE KAMPENI YA EBOLA
Wiki iliyopita staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz aliachia ngoma yake mpya ‘’Nitampata Wapi’’ ‘audio’ na ‘video’, na mapokeo yake kwa mashabiki kuwa makubwa sana kwani mpaka leo kwenye mtandao wa ‘You Tube’ video hiyo imetazamwa zaidi ya mara 558,276.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDIAMOND ATWAA TUZO 3 ZA CHANNEL O SAUZ
Diamond akiwa na tuzo. MSANII Naseeb Abdul ‘Diamond Platumz’ ametwaa tuzo tatu za Channel O usiku huu nchini Afrika Kusini. Tuzo hizo ni; Most Gifted new comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One!
10 years ago
GPLBAADA YA KUTWAA TUZO 3 SAUZ, DIAMOND KUPIGA SHOO MAREKANI
STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' anataraji kufanya shoo ya nguvu Jumamosi ijayo ya Desemba 6, mwaka huu nchini Marekani. Diamond ambaye juzi usiku alikomba tuzo tatu za Channel O ambazo ni Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One anataraji kupiga shoo jijini Washington DC kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Sheraton akiwa na crew yake ya Wasafi. ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OkFU-1s0oOHVAURnACytp3rftrHi*5yBuzt-4ru7oVDcIzlbYe4Wk1L3Rv7YPklTT6XOe1xgyTZejWDe2xcGIse/diamond.jpg?width=750)
DIAMOND APELEKA TUZO ZA CHANNEL O KWA JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na staa  wa Bongo  Fleva, Nasibu Abdul  ' Diamond Platnumz ' baada ya kumtembelea leo Ikulu jijini Dar es Salaam.…
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Diamond ajizolea tuzo tatu za Channel O
Mwanamuziki mwenye sifa kedekede nchini Tanzania, Naseeb Abdul, au 'Diamond Platnumz', anaendelea kujizolea sifa kimataifa baada ya kushinda tuzo 3 za Channel O African Music Awards.
10 years ago
Bongo512 Nov
Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii
DJ Tass wa kituo cha radio cha Magic Fm pamoja na kipindi cha Wakilisha cha Maisha Magic-DSTV amepata shavu la kwenda kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii. Tass ameiambia Bongo5 kuwa ataondoka Dar es salaam Ijumaa hii kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini. Kupitia Instagram pia ameshare taarifa hiyo kwa kuandika, “Official Dj […]
10 years ago
CloudsFM01 Dec
DIAMOND ATWAA TUZO TATU ZA CHANNEL O MUSIC AWARDS
Mpenzi wa sasa wa Diamond,Zari akiwa amebeba tuzo.
Mama Diamond,Diamond na Zari wakipita kwenye red carpet.
Madam Rita na Salam Jabir wakimsapoti Diamond.
Diamond akiwa na mameneja wake Babu Tale na Mkubwa Fela.
Most Gifted West Video
‘Turn Up-Olamide
Most Gifted Ragga/Dancehall
Buffalo Soulja
The Most Gifted Kwaito
Uhuru ft Oskido & Professor Kalawa -tjukutja
Most Gifted East Video
Diamond Platnumz
Most Gifted Dance Video
Busiswa-Ngoku
Most Gifted...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MgTz02rO3G9mdzIiYwfLhMNwFUUHH1Ef4viToseWb6NHoXcJUIv-2W4iI43HVPqf80K5sNnrXFjB0ifroy0Guyx/mond.gif?width=650)
DIAMOND AFUNIKA CHANNEL O, SASA KUPELEKA TUZO ZAKE 3 DAR LIVE
Na John Joseph
STAA wa wimbo wa Nitampata Wapi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzi usiku alifanikiwa kuweka historia baada ya kutwaa tuzo tatu katika Tuzo za Video za Channel O (Channel O Music Video Awards 2014). Diamond ambaye alikuwa ameongozana na Watanzania…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania