Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPENZI WA D’BANJ APATA SHAVU KUTOKA KWA RAIS

Staa wa Afro Pop, Nigeria, D’Banj’. LAGOS, Nigeria Mpenzi wa staa wa Afro Pop, Nigeria, D’Banj’, Adama Indimi hivi karibuni amepata mwaliko wa kukutana na rais wa nchi hiyo, Muhammadu Buhari. Kufuatia mwaliko huo wa Adama aliouanika kwenye ukurasa wake wa Instagram, D’Banj hakuwa na mengi ya kuandika zaidi ya maneno matamu ya kumtakia mkutano mwema.Hata hivyo, wawili hao mara kwa mara wamekuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI

Mwanamuziki kutoka Nigeria D’ Banj. INAVYOONEKANA bado mwanamuziki D’ Banj analo penzi la kweli kwa mpenzi wake wa zamani, Adama Indimi baada ya juzikati kujigonga kwake kwa kumtumia ujumbe mzuri mama wa demu huyo katika siku yake ya kuzaliwa. Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki D’ Banj Adama Indimi. Jamaa alifanya hivyo kupitia mtandao wa Instagram ambapo mbali na kumtakia heri ya kuzaliwa, pia alimuelezea mama...

 

11 years ago

GPL

MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK

Mr. Nice (kulia). Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.

 

10 years ago

GPL

D'BANJ APATANA NA DON JAZZY, AMTAMBULISHA MPENZI WAKE KWENYE TUZO ZA MAMA

Mwanamuziki D’banj na prodyuza na mwanamuziki Don Jazzy wakiwa kwenye tuzo hizo.
WAKATI mashabiki wakifikiri mtafaruku kati ya mwanamuziki D’banj na prodyuza na mwanamuziki Don Jazzy ukiongezeka,  D’banj aliwashangaza watu wote kwa kusema tuzo yake aliyopata katika mchuano wa MTVMAMA huko Afrika Kusini ni zawadi kwa prodyuza wake wa zamani, Don Jazzy. D’banj akiwa na mpenzi wake. Mwanamuziki huyo...

 

10 years ago

Bongo5

Peter Okoye (P-Square) apata shavu la ubalozi wa Olympic Milk

Mmoja wa mapacha wa kundi la P-Square, Peter Okoye amechaguliwa kuwa balozi wa Olympic Milk. Dili hilo linadaiwa kuwa la mamilioni ya naira. Hii ni mara ya kwanza kwa mmoja wa ndugu hao kusaini mkataba wake mwenyewe kwakuwa mikataba mingi husaini pamoja. Wafuatiliaji wa burudani nchini Nigeria wanahisi hiyo inaweza kuwa ni dalili ya kutokuwepo […]

 

10 years ago

Bongo5

Muigizaji wa Bollywood, Priyanka Chopra apata shavu la kuigiza Marekani, runinga ya ABC yamsaini

Muigizaji wa Bollywood, muimbaji na aliyewahi kuwa Miss World 2000, Priyanka Chopra amesaini mkatana na ABC Studios ya Marekani. Kwenye mkataba huo wa mwaka mmoja, ABC wanaweza kutengeneza kitu kwaajili ya Chopra au kumweka muigizaji huyo kwenye kazi yake inayoendelea. Deal hiyo inakuwa ya kwanza msanii huyo kuipata nchini Marekani. Chopra, ameigizaji filamu zaidi ya […]

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND APATA SHAVU ‘SAUZ’LA KUGAWA TUZO ZA CHANNEL O, NA KUSHIRIKI KWENYE KAMPENI YA EBOLA

Wiki iliyopita staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz aliachia ngoma yake mpya ‘’Nitampata Wapi’’ ‘audio’ na ‘video’, na mapokeo yake kwa mashabiki kuwa makubwa sana kwani mpaka leo kwenye mtandao wa ‘You Tube’ video hiyo imetazamwa zaidi ya mara 558,276.

Safari hii Diamond amepta shavu nchini South Afrika, asubuhi ya leo aliingia ndani ya jumba la Big Brother na kuzungumza na washiriki wa shindano hilo. Pia kuna ngoma atarekodi huko na pia licha ya kutajwa kwenye tuzo za Channel O Music Video...

 

10 years ago

Bongo5

Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii

DJ Tass wa kituo cha radio cha Magic Fm pamoja na kipindi cha Wakilisha cha Maisha Magic-DSTV amepata shavu la kwenda kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii. Tass ameiambia Bongo5 kuwa ataondoka Dar es salaam Ijumaa hii kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini. Kupitia Instagram pia ameshare taarifa hiyo kwa kuandika, “Official Dj […]

 

9 years ago

Bongo5

Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood

Mdogo wa kiume wa mwigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o aitwaye Peter Nyong’o ameanza kufata nyayo za dada yake kwa kupata shavu la kuigiza kwenye filamu mpya huko Hollywood. Peter amepata nafasi ya kucheza kwenye filamu ya ‘Nocturnal Animals’ ya Tom Ford ambayo itatoka mwakani 2016. Hii itakuwa ndio mara yake ya kwanza kugiza kwenye filamu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani