D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI
![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9LWRhYiZN3jaZS-dHcEMeQ2jMdiTnVzgufLHlPqGwImSjiaupCAqWQar*4xsWc6*uaP*hh9IGM2C-*NfVFkkzQA/Dbanj1.jpg?width=650)
Mwanamuziki kutoka Nigeria D’ Banj. INAVYOONEKANA bado mwanamuziki D’ Banj analo penzi la kweli kwa mpenzi wake wa zamani, Adama Indimi baada ya juzikati kujigonga kwake kwa kumtumia ujumbe mzuri mama wa demu huyo katika siku yake ya kuzaliwa. Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki D’ Banj Adama Indimi. Jamaa alifanya hivyo kupitia mtandao wa Instagram ambapo mbali na kumtakia heri ya kuzaliwa, pia alimuelezea mama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6neDhMwXtjsxZUSQA5HhjvMylBo6d4NlEj*ayK-PHQ1USU14KkFYisONvO5sxYlUv-8yWfUk5g4EyG3fSSgspX-d/Dbanj1.jpg?width=650)
MPENZI WA D’BANJ APATA SHAVU KUTOKA KWA RAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vHG5-bX4LbVa95GsjByp9eIalFdEcex08MnkcVS7hhQtEhspSDBslRHD5*4LBKICQuh6Lgj7OwIh*yLGlCTidh/love.jpg)
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
9 years ago
Bongo521 Dec
Picha: Diamond uso kwa uso na watoto watatu wa mpenzi wa zamani wa Zari
![diamond na watoto wa zari](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-watoto-wa-zari-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kuudhihirishia ulimwengu kuwa licha ya kuwa mama wa mtoto wake, Zarinah Tlale alimkuta na watoto watatu wa baba mwingine, lakini hilo halimzuii kuhang na watoto hao ambao baba yao ni Ivan Ssemwanga.
Akiwa Uganda weekend iliyopita Diamond na Zari walipost picha za familia ambapo kwenye moja ya picha hizo Diamond amepiga akiwa Zari na binti yao Tiffah na watoto wengine wa zari, na kusindikiza na caption ya kijembe.
“Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1WxkYiVIEvj22gkPMt4QwVgO-Fu86*4emxz9QWOaG1yTWo9Sx0x5eoEjsSKLzK87PeASaUdKA9vm*sDwLnaJtMFbI9-iqvCz/don.jpgw600h764.jpg?width=650)
D'BANJ APATANA NA DON JAZZY, AMTAMBULISHA MPENZI WAKE KWENYE TUZO ZA MAMA
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Lupita ampongeza mpenzi wake wa zamani
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa filamu nchini Kenya, Lupita Nyong’o, amemtumia salamu za pongezi mpenzi wake wa zamani, Alex Konstantara kwa kuwa anatarajiwa kuitwa baba.
Awali Konstantara alikuwa na uhusiano na Lupita, lakini waliachana kabla hawajapata mtoto na Alex akaamua kufunga ndoa na Lizz Njagah.
“Ni hatua mojawapo ya maisha ya kukuza kizazi, nakutakia kila la heri upate mtoto salama na mwenye afya njema,” aliandika Lupita baada ya mpenzi wake huyo kuweka wazi kwamba anatarajia mtoto hivi...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Je kutupa picha za mpenzi wa zamani ni haki ?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZZ2UmS*c7VEeODz*BFzqUetMKz919kh6Ei6vHZ3WYXx*ud7Vx8j9DWnd3Sb*uaC8OgcyIzXqycMoRv6v4mECZt/mahaba.jpg)
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUMRUDIA MPENZI WA ZAMANI!
5 years ago
BBCSwahili20 May
Aliyemfuatilia mpenzi wake wa zamani mtandaoni ahukumiwa