Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je kutupa picha za mpenzi wa zamani ni haki ?

Nchini Uganda picha za utupu za mwanamuziki Desire Luzinda zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na magazetini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond uso kwa uso na watoto watatu wa mpenzi wa zamani wa Zari

diamond na watoto wa zari

Diamond Platnumz ameamua kuudhihirishia ulimwengu kuwa licha ya kuwa mama wa mtoto wake, Zarinah Tlale alimkuta na watoto watatu wa baba mwingine, lakini hilo halimzuii kuhang na watoto hao ambao baba yao ni Ivan Ssemwanga.

diamond na watoto wa zari

Akiwa Uganda weekend iliyopita Diamond na Zari walipost picha za familia ambapo kwenye moja ya picha hizo Diamond amepiga akiwa Zari na binti yao Tiffah na watoto wengine wa zari, na kusindikiza na caption ya kijembe.

diamond na watoto wa zari-2

“Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lupita ampongeza mpenzi wake wa zamani

lupitaNA BADI MCHOMOLO

NYOTA wa filamu nchini Kenya, Lupita Nyong’o, amemtumia salamu za pongezi mpenzi wake wa zamani, Alex Konstantara kwa kuwa anatarajiwa kuitwa baba.

Awali Konstantara alikuwa na uhusiano na Lupita, lakini waliachana kabla hawajapata mtoto na Alex akaamua kufunga ndoa na Lizz Njagah.

“Ni hatua mojawapo ya maisha ya kukuza kizazi, nakutakia kila la heri upate mtoto salama na mwenye afya njema,” aliandika Lupita baada ya mpenzi wake huyo kuweka wazi kwamba anatarajia mtoto hivi...

 

10 years ago

GPL

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUMRUDIA MPENZI WA ZAMANI!

Nisiku nyingine tena tunakutana katika safu hii nikiamini umzima na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Mimi namshukuru Mungu kwa kila jambo, amenijaalia afya njema na nguvu za kutosha kiasi cha kuweza kukuandikia wewe kile ambacho naamini kina umuhimu katika maisha yako ya kimapenzi. Leo ningependa tuzungumzie mambo ya kuzingatia kabla ya kumrudia mpenzi ambaye aidha mmeachana, yupo mbali na wewe au...

 

10 years ago

GPL

D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI

Mwanamuziki kutoka Nigeria D’ Banj. INAVYOONEKANA bado mwanamuziki D’ Banj analo penzi la kweli kwa mpenzi wake wa zamani, Adama Indimi baada ya juzikati kujigonga kwake kwa kumtumia ujumbe mzuri mama wa demu huyo katika siku yake ya kuzaliwa. Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki D’ Banj Adama Indimi. Jamaa alifanya hivyo kupitia mtandao wa Instagram ambapo mbali na kumtakia heri ya kuzaliwa, pia alimuelezea mama...

 

5 years ago

BBCSwahili

Aliyemfuatilia mpenzi wake wa zamani mtandaoni ahukumiwa

Mmoja wa waathiriwa unyanyasaji wa kimtandao anasimulia yaliyomtokea baada ya mpenzi wake wa zamani aliyemfuatilia kwenye mtandao kwa kujificha ambaye amepatikana na hatia ya kumfuata kisiri na kumtumia mawasiliano

 

10 years ago

Bongo Movies

Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito

Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa,  mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.

Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika

 “Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...

 

9 years ago

Mtanzania

Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao

mtoto wa mwanamuziki wa zamaniNA JANETH MAPUNDA (MSPS)

BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.

Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani