Je kutupa picha za mpenzi wa zamani ni haki ?
Nchini Uganda picha za utupu za mwanamuziki Desire Luzinda zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na magazetini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Dec
Picha: Diamond uso kwa uso na watoto watatu wa mpenzi wa zamani wa Zari
![diamond na watoto wa zari](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-na-watoto-wa-zari-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kuudhihirishia ulimwengu kuwa licha ya kuwa mama wa mtoto wake, Zarinah Tlale alimkuta na watoto watatu wa baba mwingine, lakini hilo halimzuii kuhang na watoto hao ambao baba yao ni Ivan Ssemwanga.
Akiwa Uganda weekend iliyopita Diamond na Zari walipost picha za familia ambapo kwenye moja ya picha hizo Diamond amepiga akiwa Zari na binti yao Tiffah na watoto wengine wa zari, na kusindikiza na caption ya kijembe.
“Me and my Stars!…Basi Hapo Vikurubembe roho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vHG5-bX4LbVa95GsjByp9eIalFdEcex08MnkcVS7hhQtEhspSDBslRHD5*4LBKICQuh6Lgj7OwIh*yLGlCTidh/love.jpg)
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Lupita ampongeza mpenzi wake wa zamani
NA BADI MCHOMOLO
NYOTA wa filamu nchini Kenya, Lupita Nyong’o, amemtumia salamu za pongezi mpenzi wake wa zamani, Alex Konstantara kwa kuwa anatarajiwa kuitwa baba.
Awali Konstantara alikuwa na uhusiano na Lupita, lakini waliachana kabla hawajapata mtoto na Alex akaamua kufunga ndoa na Lizz Njagah.
“Ni hatua mojawapo ya maisha ya kukuza kizazi, nakutakia kila la heri upate mtoto salama na mwenye afya njema,” aliandika Lupita baada ya mpenzi wake huyo kuweka wazi kwamba anatarajia mtoto hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZZ2UmS*c7VEeODz*BFzqUetMKz919kh6Ei6vHZ3WYXx*ud7Vx8j9DWnd3Sb*uaC8OgcyIzXqycMoRv6v4mECZt/mahaba.jpg)
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUMRUDIA MPENZI WA ZAMANI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9LWRhYiZN3jaZS-dHcEMeQ2jMdiTnVzgufLHlPqGwImSjiaupCAqWQar*4xsWc6*uaP*hh9IGM2C-*NfVFkkzQA/Dbanj1.jpg?width=650)
D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI
5 years ago
BBCSwahili20 May
Aliyemfuatilia mpenzi wake wa zamani mtandaoni ahukumiwa
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao
NA JANETH MAPUNDA (MSPS)
BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.
Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...