Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao
NA JANETH MAPUNDA (MSPS)
BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.
Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Je kutupa picha za mpenzi wa zamani ni haki ?
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Wazee wanahitaji haki wanayostahili
“KESHO Juni 15 ni siku ya Kupambana na Manyanyaso na Dhuluma ya Wazee Ulimwenguni… hivyo tusiwahukumu wazee katika hali ya kutojielewa kwa kuwaua kwa kuhisi ni wachawi.” Hayo ni maelezo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Vijana wanaotaka uongozi wanaukana ushirika wao na wazee?
KIASI cha kama wiki moja hivi iliyopita nilikuwa Bukoba. Nikaenda sehemu inaitwa Bukoba Club kutafuta mlo wa mchana. Wakati nikisubiri mlo wangu, alikuja mtoto mmoja mvulana aliyeniambia ana miaka kumi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Utetezi haki za wazee kugharimu mil. 828/-
SHIRIKA la Kimataifa la Help Age Tanzania kwa kushirikiana na Help Age Germany na Wizara ya Maendeleo ya Kiuchumi ya Ujerumani (BMZ), wanatarajia kutumia zaidi ya sh milioni 828.7 kufanikisha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tdn3FGWnYs8/VgvMkrQUu3I/AAAAAAAH76s/UR2siMOet1M/s72-c/download.jpg)
SERIKALI YAMTAKA KILA MWANAJAMII KUTAMBUA HAKI ZA WAZEE NA KUWATHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-tdn3FGWnYs8/VgvMkrQUu3I/AAAAAAAH76s/UR2siMOet1M/s1600/download.jpg)
Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt, Donan Mmbando (Pichani) kupitia tamko la wizara hiyo kuhusu maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wazee duniani itakayofanyika kesho Oktoba Mosi ,mwaka huu wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
‘Sera zisizotekelezwa zawatesa wazee, watoto’
SHIRIKA la Twaweza limesema wazee na watoto ndio waathirika wakubwa wa sera za serikali ambazo hazitekelezwi. Hayo yalibainisha jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa shirika hilo Rakesh Rajani, alipokuwa...