‘Sera zisizotekelezwa zawatesa wazee, watoto’
SHIRIKA la Twaweza limesema wazee na watoto ndio waathirika wakubwa wa sera za serikali ambazo hazitekelezwi. Hayo yalibainisha jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa shirika hilo Rakesh Rajani, alipokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo03 Dec
‘Sera ya wazee itungiwe sheria’
WANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu wameomba uongozi wa chama hicho ngazi ya taifa kwenda wilayani humo kutatua mgogoro uliopo baina ya viongozi wa chama ngazi ya mkoa na wilaya. Wakizungumza na waandishi wa habari jana mjini Maswa, walisema mgogoro uliopo kwa sasa ni kati ya viongozi wa wilaya waliosimamishwa na viongozi wa wilaya walioteuliwa kukaimu nafasi hizo huku uongozi wa mkoa wa Simiyu ikiwa hautambui mabadiliko hayo.
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Watoto wa wanamuziki wa zamani walilia haki za wazee wao
NA JANETH MAPUNDA (MSPS)
BAADHI ya watoto wa wanamuziki wa zamani wameibuka na kudai kwamba wamesikitishwa na mitandao mbalimbali inayouza nyimbo za wazazi wao bila kuwa na makubaliano na familia zao.
Mmoja wa watoto hao akimwakilisha msanii Kassim Njohole aliyekuwa akipiga katika bendi ya ‘Njohole Jazz Band’, Hassan Kassim Njohole maarufu ‘Hanjo Hassan, aliliambia MTANZANIA kwamba familia zao zinashangazwa kuona mitandano ya ndani na nje ya nchi ikiuza nyimbo za wazazi wao bila familia...
5 years ago
MichuziRAIS DKT.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA KAZI UWEZESHAJI WAZEE WANAWAKE NA WATOTO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EjX2Lbn-vY4/Vn_SzBKsdgI/AAAAAAAIO5A/h3qKNedYfXk/s72-c/6fe82581-fe55-444e-938a-d9e9739c497f.jpg)
VODACOM FOUNDATION YAWAKUMBUKA WAZEE WA BUKUMBI NA WATOTO YATIMA WA VILLAGE OF HOPE JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EjX2Lbn-vY4/Vn_SzBKsdgI/AAAAAAAIO5A/h3qKNedYfXk/s640/6fe82581-fe55-444e-938a-d9e9739c497f.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Pembejeo zawatesa wakulima
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatoa taarifa kuhusu hali ya Kipindupindu nchini
Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika.Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Serikali tatu zawatesa wajumbe
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiweka msimamo wa kupinga muundo wa serikali tatu, baadhi ya wajumbe wameelezwa kusikitishwa na mjadala kujikita kwenye muundo wa serikali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana,...