Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali tatu zawatesa wajumbe

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiweka msimamo wa kupinga muundo wa serikali tatu, baadhi ya wajumbe wameelezwa kusikitishwa na mjadala kujikita kwenye muundo wa serikali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Nitawashangaa wajumbe Zanzibar kupinga Serikali tatu’

Kamishna wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Ali Saleh amesema atawashangaa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), iwapo watapinga mfumo wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu

SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Pembejeo zawatesa wakulima

Wakulima wengi nchini wameshindwa kufikia malengo kutokana na gharama za pembejeo na kutofautiana taratibu, kanuni na masharti ya aina ya mazao.

 

11 years ago

Habarileo

‘Ni serikali tatu’

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akipokea rasimu ya Katiba Mpya kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya, Jaji Joseph Warioba wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Mpigapicha wetu).MUUNDO wa serikali tatu umeendelea kuwa ndani ya Rasimu ya Katiba iliyokabidhiwa jana kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na ambacho Tume ya Mabadiliko ya Katiba imesema ndiyo itakuwa suluhu ya malalamiko juu ya kero za Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga serikali tatu

KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Habarileo

‘Tujaribu serikali tatu’

MCHAMBUZI wa masuala ya siasa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Benson Bana, ameshauri Watanzania kujaribu mapendekezo ya Rasimu ya Pili ya Katiba, ya mfumo wa Muungano wa serikali tatu bila hofu na kukabili changamoto zake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK apinga serikali tatu

RAIS Jakaya Kikwete amefanya kampeni ya wazi kutetea mfumo wa serikali mbili unaopiganiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitumia muda mrefu kujaribu kuonyesha ‘ubaya’ wa mfumo wa serikali tatu....

 

10 years ago

Mwananchi

Bidhaa kutoka nje zawatesa wakulima

Serikali imeshauriwa kutazama upya utaratibu wa kutoa vibali vya kuingiza nchini bidhaa mbalimbali kutoka nje ikiwamo sukari, ili kuwasaidia wakulima kupata soko la mazao wanayozalisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Bei za mahindi, nyanya zawatesa wakulima

Wakulima wa nyanya na nafaka wa Tarafa ya Mazombe wamelalamikia kushuka kwa bei ya mazao hayo, huku pembejeo zikizidi kupanda bei.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani