Bidhaa kutoka nje zawatesa wakulima
Serikali imeshauriwa kutazama upya utaratibu wa kutoa vibali vya kuingiza nchini bidhaa mbalimbali kutoka nje ikiwamo sukari, ili kuwasaidia wakulima kupata soko la mazao wanayozalisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Pembejeo zawatesa wakulima
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Bei za mahindi, nyanya zawatesa wakulima
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6A0LB7ob0pY/Xp_9vO519yI/AAAAAAALnxw/rVGNTzoAqvYoirrXYzx7h-vuW60WqJJlQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-35-2048x1365.jpg)
TUZALISHE KWA WINGI BIDHAA TULIZOKUWA TUNAAGIZA KUTOKA NJE: PROF SHEMDOE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6A0LB7ob0pY/Xp_9vO519yI/AAAAAAALnxw/rVGNTzoAqvYoirrXYzx7h-vuW60WqJJlQCLcBGAsYHQ/s640/1-35-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-26-scaled.jpg)
9 years ago
Mtanzania26 Sep
UNECA: Tanzania isiagize bidhaa nje
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
OFISA wa Umoja wa Mataifa Kitengo cha Uchumi Afrika (UNECA), Hopestone Chavula, ameishauri Tanzania kuzalisha bidhaa zenye viwango ili kukwepa kuagiza vitu kutoka nje ya nchi.
Ushauri huo ameutoa jijini hapa jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa maendeleo ya viwanda na biashara Afrika kwa mwaka huu iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar es Salaam Convention Center.
Chavula alisema watu wengi wamekuwa wakiamini bidhaa zenye ubora ni zile zinazozalishwa nje...
11 years ago
Mwananchi01 May
Usafirishaji wa bidhaa nje unapaswa kutazamwa upya
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Lugola atinga bungeni begi la bidhaa za nje
9 years ago
StarTV13 Nov
Serikali yakamilisha mchakato kimataifa Kuuza Nje Bidhaa Zinazosindikwa
Serikali inakamilisha mchakato wa kuingia katika biashara ya kimataifa kwa kuuza nje ya nchi bidhaa za kilimo zinazosindikwa nchini badala ya kuuza ghafi.
Katika kukamilisha hilo, wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, utalii na usindikaji wa ndani na nje ya nchi wameshiriki mkutano wa siku moja uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkutano wa siku moja uliofanyika Dar es Salaam, umejadili fursa na tija mbalimbali za biashara ya kimataifa kwa nchi masikini na zinazoendelea, ikiwemo...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Pinda: Ruksa wakulima kuuza mahindi nje
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema ruksa kwa wakulima walio na mahindi kuuza nje ya nchi. Hatua hiyo imetokana na wakulima wengi kuzuiwa kuuza mahindi yao nje ya nchi huku wakiwa...