Lugola atinga bungeni begi la bidhaa za nje
Mjadala wa Bajeti ya Serikali, ambao umetawaliwa na suala la kushuka kwa thamani ya shilingi, jana ulichukua sura ya pekee baada ya mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola kuingia na begi lililojaa bidhaa mbalimbali kutoka nje ambazo alizitumia kuthibitisha matumizi yasiyostahili ya fedha za kigeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/PG4A2298.jpg)
KANGE LUGOLA ALIVYOTINGA BUNGENI NA BANGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pygbhdqFYxDQT77u-egloJDkLq*rhjx9VL0gN6C1HtL5rphs7Lgf47Lsc7-oQ2Sc49wSTHUY0pgH9rRNRJQbKCpg/ligolabungeni.jpg)
KANGI LUGOLA AWASHA MOTO BUNGENI
10 years ago
GPL28 Nov
KANGI LUGOLA AOMBA KUVAA KININJA ILI ACHANGIE RIPOTI YA TEGETA ESCROW BUNGENI
11 years ago
Habarileo08 Aug
Arfi atinga bungeni
WAKATI Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema kuwa anaamini idadi ya wajumbe wa bunge hilo wanaorejea bungeni baada ya kususa vikao itazidi kuongezeka, Mbunge wa Mpanda Kati, Said Arfi (Chadema) ametinga bungeni.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mbunge Chadema atinga bungeni
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Zitto atinga bungeni, aomba ushauri kwa spika
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Bidhaa kutoka nje zawatesa wakulima
9 years ago
Mtanzania26 Sep
UNECA: Tanzania isiagize bidhaa nje
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
OFISA wa Umoja wa Mataifa Kitengo cha Uchumi Afrika (UNECA), Hopestone Chavula, ameishauri Tanzania kuzalisha bidhaa zenye viwango ili kukwepa kuagiza vitu kutoka nje ya nchi.
Ushauri huo ameutoa jijini hapa jana wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa maendeleo ya viwanda na biashara Afrika kwa mwaka huu iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar es Salaam Convention Center.
Chavula alisema watu wengi wamekuwa wakiamini bidhaa zenye ubora ni zile zinazozalishwa nje...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zjBHZ5lwvc/U5ihzpgqZ9I/AAAAAAAFp24/U7_VFH4VDh0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
YALIYOJIRI BUNGENI DODOMA LEO, MBUNGE ATINGA NA BANGO KUWANIA NAFASI, AAMRIWA ASAULE
![](http://1.bp.blogspot.com/--zjBHZ5lwvc/U5ihzpgqZ9I/AAAAAAAFp24/U7_VFH4VDh0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd5lJnOuOR8/U5ih0AU-JFI/AAAAAAAFp28/o8z_a5Ccolg/s1600/unnamed+(84).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VwdZMCJL_bU/U5ihz2FVENI/AAAAAAAFp3A/inxdga_Xjmo/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--nfehOqo5go/U5ih16g3FAI/AAAAAAAFp3E/PbxwSx-ZmY8/s1600/unnamed+(86).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10