Zitto atinga bungeni, aomba ushauri kwa spika
Dodoma. Siku tisa baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kumvua uanachama, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitinga bungeni na kufanya kikao cha siri na Spika wa Bunge, Anne Makinda kwa zaidi ya saa moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Serikali ilipuuza ushauri wa Spika
11 years ago
Habarileo08 Aug
Arfi atinga bungeni
WAKATI Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, akisema kuwa anaamini idadi ya wajumbe wa bunge hilo wanaorejea bungeni baada ya kususa vikao itazidi kuongezeka, Mbunge wa Mpanda Kati, Said Arfi (Chadema) ametinga bungeni.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mbunge Chadema atinga bungeni
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Lugola atinga bungeni begi la bidhaa za nje
10 years ago
Habarileo19 Jun
Spika akemea utoro bungeni
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amesikitishwa na wimbi la wabunge kutofika kwenye vikao vya mjadala wa bajeti ya serikali mwaka 2015/16.
10 years ago
Mtanzania20 Mar
Spika amzuia Zitto kuachia ubunge
Na Fredy Azzah, Dodoma
AZMA ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), ya kujiuzulu ubunge imegonga mwamba baada ya kuelezwa kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, amemzuia kufanya hivyo, imefahamika.
Zitto ambaye alikuwa ameshafanya maandalizi ya kuaga jana ndani ya Bunge, alijikuta akigonga mwamba dakika za mwisho baada ya kuingia bungeni na kuelezwa na mmoja wa maofisa wa Bunge kuwa suala lake la kutoa hotuba limeahirishwa na Spika Makinda akitakiwa kwanza kuifanyia...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-esbi6gGa_9k/XkghNxY0xyI/AAAAAAACHqI/L64D059JACU0vLTA0XLRgQ_Xo1vQHdJTgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_194650_953.jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Spika: Sijapokea barua ya kumvua Zitto ubunge.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Makinda-18March2015.jpg)
Spika Makinda aliwaambia waandishi wa habari nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana kuwa ofisi yake haiwezi...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Tume yasubiri barua ya Spika kuhusu Zitto
TUME ya Uchaguzi imesema hata ikipokea barua kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapopokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge.