Spika akemea utoro bungeni
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amesikitishwa na wimbi la wabunge kutofika kwenye vikao vya mjadala wa bajeti ya serikali mwaka 2015/16.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s72-c/2-8-768x432.jpg)
DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s640/2-8-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-11-1024x576.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Utoro bungeni sasa unakinaisha
11 years ago
Habarileo23 Feb
Makinda akemea 'utajiri' bungeni
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda ametaka wanaotarajia kugombea katika uchaguzi mkuu wa 2015 kujiweka sawa kiuchumi badala ya kutegemea kutajirika wakiwa bungeni. Wakati Makinda akitoa ushauri huo kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba, kwa upande wake Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake, Anna Abdalah amesema wanaosema posho ya Sh 300,000 kwa siku haitoshi wana sababu zao.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Askofu akemea unabii wenye nia mbaya bungeni
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga, ameongoza Ibada ya kuombea Bunge Maalumu la Katiba, ili Mungu awezeshe wajumbe wa Bunge hilo kuwawakilisha Watanzania vyema.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Naibu spika amwagiwa maji bungeni Kenya
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Zitto atinga bungeni, aomba ushauri kwa spika
10 years ago
Vijimambo28 Jan
Vuta nikuvute Bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2604812/highRes/932472/-/maxw/600/-/k9nluaz/-/makinda.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA NDUGAI AGOMEA HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI KUSOMWA,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s400/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amekataa kusomwa kwa hotuba ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni kuhusu hotuba ya Waziri Mkuu kwa kile alichoeleza kuwa zina shida ikiwemo kuwa na mambo mengi ya kubuni.
Amesema aliipata hotuba hiyo mapema na kuipitia ambapo amebaini kuwa na mambo mengi ya kubahatisha huku ikiwa haijazingatia kanuni za kiuandishi.
Amesema hawezi kuruhusu mambo ya mwaka wa kwanza na wa pili wa Bunge kufanywa katika mwaka wa tano na hivyo kusema...