Serikali ilipuuza ushauri wa Spika
>Kasoro zilizomo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya 2011, zimechangiwa na Serikali kupuuza mapendekezo yaliyotolewa na Ofisi ya Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa mchakato wa marekebisho ya sheria hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Zitto atinga bungeni, aomba ushauri kwa spika
Dodoma. Siku tisa baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kumvua uanachama, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jana alitinga bungeni na kufanya kikao cha siri na Spika wa Bunge, Anne Makinda kwa zaidi ya saa moja.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Serikali iuzingatie ushauri huu muhimu
Tuna imani kuwa nchi yetu itaendelea kuwa ya amani, utulivu na mshikamano.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Shell yadaiwa ilipuuza onyo Nigeria
Mawakili wanaoiwakilisha jamii ya watu walioathiriwa na uchafuzi wa mazingira anasema wakuu wa kampuni ya mafuta ya Shell walijulishwa mapema kuhusu kuchakaa kwa mabomba yake ya mafuta.
9 years ago
Michuzi27 Aug
SERIKALI KUZINGATIA USHAURI WA RIPOTI YA ESRF YA MAENDELEO YA BINADAMU
![IMG_4859](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_4859.jpg)
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_4966.jpg)
SERIKALI KUZINGATIA USHAURI WA RIPOTI YA ESRF YA MAENDELEO YA BINADAMU
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mh. Hawa Ghasia akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha ya uwasilishaji wa Ripoti ya Maendeleo ya Binadamu Tanzania ya Mwaka 2014 kwa Viongozi wa Mikoa na Wilaya iliyofanyika jijini Arusha katika hoteli ya Ngurdoto. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) Dk. Tausi Kida (katikati) pamoja Mratibu Mkazi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s72-c/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
MKUCHIKA AZINDUA BODI YA USHAURI YA WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI NA KUITAKA IHAKIKISHE ATCL INAKUWA IMARA KIUSHINDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s640/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Wakala ya Ndege za Serikali (hawapo pichani) mara baada ya kuzindua Bodi hiyo mapema leo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f42f074f-4a99-4b76-bfcb-84f9509cdb14.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Spika m-serikali, Msajili m-CCM, taifa linayumba
HAKUNA siri tena kuwa taifa letu hivi sasa linapita katika kipindi kigumu cha uhaba wa ajira, umasikini na uongozi mbovu. Vyote hivi kwa kiasi kikubwa vimesababishwa na uwajibikaji dhaifu wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ShOjZAov1Vk/XlfXIrZARBI/AAAAAAACzlQ/_Fl5VNO_fOkySYF5BVCMHNaic0c4nx4IACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania